WASTAAFU WAONYWA DHIDI YA MATAPELI KUPOTEZA MAFAO YAO
Na Marco Maduhu, SHINYANGAWASTAAFU nchini wametakiwa kuwa makini na watu wanaojitambulisha kama mawakala wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), wakihimizwa kutumia njia rasmi za mfuko huo...
View ArticleWAZIRI AKWILAPO ATOA ONYO KALI KWA WAVAMIZI WA ARDHI
Na Mwandishi WetuWaziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo, amewaonya wananchi wanaovamia maeneo kwa nguvu na kuunda vikosi vya ulinzi kwa ajili ya kulinda maeneo...
View ArticleSERIKALI ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA CHAMA CHA MADAKTARI, WAFAMASIA
Na. Jawadu Kinyobwa Serikali imesema itaendelea kushirikiana na Chama Cha Wafanyakazi Madaktari na Wafamasia Tanzania katika kushughulikia changamoto zinazowakabili wataalamu hao, huku ikisisitiza...
View ArticleKIKWETE AWATAKA WANAUME KUPIMA TEZI DUME MAPEMA
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipokea tuzo kutoka kwa Mwenyekiti wa Kairuki Health and Education Network Bi Kokushubira Kairuki katika maadhimisho ya Mwezi wa Uelewa wa Saratani ya Tezi Dume...
View ArticleRC TANGA: WASTAAFU LINDAENI MAFAO YENU, TUMIENI MIFUMO YA KIDIJITALI
Mkuu wa mkoa wa Tanga, Balozi Dkt. Batilda Burian akizungumza katika semina ya PSSSF kwa maafisa Rasilimaliwatu wa mkoa wa Tanga kilichofanyika mapema leo Septemba 17, 2026 ikiwa na lengo la...
View ArticleNICOMED BOHAY AANDIKA HISTORIA, ATEULIWA KUONGOZA EFAFRICA GROUP BARANI AFRIKA
Na Mwandishi wetu.KATIKA habari njema kwa Tanzania na sekta ya fedha barani Afrika, Nicomed Bohay ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa EFAfrica Group Ltd (Group CEO), kampuni ya Pan-Afrika...
View ArticleMilango Ya Burudani Mpya Imeachwa Wazi Na Chicago Gold 2
HABARI njema kwa wapenzi wa kasino mtandaoni. Meridianbet imeongeza ladha mpya kwenye burudani yake kwa kuileta Chicago Gold 2, mchezo mpya kutoka Games Global ambao sasa unapatikana kwenye jukwaa...
View ArticleBrentford Kuwania Pointi tatu na Chelsea
TUKIWA bado tunaendelea na mitanange ya ligi mbalimbali, leo hii kuna mechi za kukata na shoka.Klabu ya Brentford itawakaribisha Chelsea, katika mchezo wa Ligi Kuu England utakaopigwa kwenye Uwanja wa...
View ArticleChicago Gold 2 Inabamba Na Safari Mpya ya Dhahabu
WAPENZI wa michezo ya kasino, maandalizi yamekamilika na safari mpya ya kusisimua imeanza ndani ya Meridianbet. Sasa ni wakati wa kuingia kwenye ulimwengu wa burudani na msisimko kupitia mchezo mpya...
View ArticleMakonda Aagiza Uchunguzi wa Mikataba ya Jezi za Taifa Stars
Na Mwandishi Wetu, Dodoma.Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Christian Makonda, ametangaza kutoutambua mchakato wa kubadilisha jezi za timu za taifa, akisema umefanyika bila...
View ArticleNMB yatoa Sh47.6 milioni kupunguza uhaba wa vifaa shuleni Kondoa, Chemba
Juhudi za kupunguza uhaba wa madawati na vifaa vya kujifunzia katika Wilaya za Kondoa na Chemba, mkoani Dodoma, zimepata msukumo baada ya Benki ya NMB kukabidhi vifaa vyenye thamani ya Sh47.6 milioni...
View ArticleRC TANGA AWASIHI WASTAAFU KULINDA MAFAO YAO,BADALA YAKE WATUMIE MIFUMO YA...
Mkuu wa mkoa wa Tanga, Balozi Dkt. Batilda Burian akizungumza katika semina ya PSSSF kwa maafisa Rasilimaliwatu wa mkoa wa Tanga kilichofanyika mapema leo Septemba 17, 2026 ikiwa na lengo la...
View ArticleNMB yajipanga kufungua zaidi milango ya mitaji kuelekea Dira 2050
ARUSHA. Benki ya NMB imejipanga kupanua ufadhili kwa wafanyabiashara na wawekezaji ili kuongeza upatikanaji wa mitaji na kuharakisha utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, inayotegemea sekta...
View ArticleMOI YAANZA KUTUMIA MBINU MPYA KUTIBU KIHARUSI
Na Abdallah Nassoro - MOITAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeanza kutumia technolojia ya kisasa kutoa matibabu ya kibingwa ya upasuaji wa ubongo kwa wagonjwa wa kiharusi inayongeza...
View ArticleKING LONG YAJIPANGA KUTOA MABASI YENYE USALAMA, UIMARA
MWENYEKITI wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (TABOA), Abdallah Kiongozi, amesema kuingia kwa mabasi ya King Long katika soko la Tanzania ni fursa ya kuimarisha sekta ya usafirishaji kupitia...
View ArticleMAKUNDI MAALUM LINDI WAASWA KUCHANGAMKIA FURSA KATIKA ZABUNI ZA UMMA
Na Mwandishi wetu, LindiWanawake, Vijana, Wazee na Watu wenye mahitaji maalum wa mikoa ya Kanda ya Kusini wametakiwa kuchangamkia fursa zinazopatikana katika zabuni za Umma ili kuongeza ushiriki wao...
View ArticleMagic Wheel Yachanganya Mambo, Kila Mzunguko Wageuka Kuwa Kivutio
KUNA michezo ya kasino ambayo huja kwa kishindo na kutoweka baada ya muda, lakini Magic Wheel ya Meridianbet imeonekana kuja na staili yake kabisa. Mchezo huu umeanza kuwasha hamu kwa wapenzi wa...
View ArticleReal Betis, Getafe kukutana kwenye vita ya pointi LaLiga
Real Betis itakuwa mwenyeji wa Getafe katika mchezo wa Ligi Kuu ya Hispania LaLiga utakaopigwa leo Alhamisi, Septemba 17, 2026, saa 20:00 usiku. Mechi hii ni ya raundi ya sita ya msimu wa La Liga na...
View ArticleNIDA KUANZA KUWASAJILI WATOTO CHINI YA MIAKA 18" - DKT MWIGULU.
● Awasihi Watanzania kuchukua Vitambulisho vyao vya Uraia.WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali kupitia Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) itaanza kuchukua hatua za kuwasajili na...
View ArticleShinda Samsung Galaxy A26 Kutoka Meridianbet Kupitia Droo Ya Zawadi.
MERIDIANBET imekuja tena na ofa inayoweza kuwapa tabasamu kubwa wapenzi wa michezo na burudani, huku safari ya kushinda simu mpya kabisa ikiwa imefunguliwa. Kupitia promosheni hii maalum, wachezaji...
View Article