Quantcast
Channel: MTAA KWA MTAA BLOG
Browsing all 39112 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DALADALA YAPARAMIA KIPITA SHOTO CHA YMCA, MOSHI

Gari aina ya Toyota Hiace linalofanya safari yake kati ya KCMC na katikati ya mji wa Moshi likiwa katika bustani ya mzunguko wa YMCA baada ya kupitiliza toka barabarani. Sehemu ya uharibifu uliofanyika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkutano sekta ya mawasiliano 'Connect to Connect Summit' waendelea Dar

 Wataalamu wa sekta ya mawsiliano wakiwa katika majadiliano katika mkutano wa masuala ya TEHAMA ‘Connect-to-Connect Summit’ unaofanyika jijini Dar es Salaam.  Wataalamu wa sekta ya mawsiliano wakiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MICHUANO YA WAZI GOFU KUANZA OKTOBA 4,JIJINI DAR

 Meneja Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya UAP Insurance, Raymond Komanga akifafanua jambo wakati wa akitangaza mashindano ya gofu yaliyoandaliwa na kampuni hiyo yatakayofanyika Oktoba 4 jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Introducing Scratch N' Win Wristbands!

Now you can not only control your venue,profits or promote your brand but can also "give back" to your customers etc. Make them win anything as they attend your event etc. See the details below and...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AFUNGUA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA UTALII JIJINI DAR LEO

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akishirikiana na viongozi mbali mbali kukata utepe ikiwa ni ishara ya Ufunguzi wa Maonyesho ya Kimataifa ya Utalii "Swahili International Tourism Expo (SITE)" kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI AZINDUA BARAZA DOGO LA WAFANYAKAZI JESHI...

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (kushoto) akizungumza na wajumbe wa Baraza Dogo la Wafanyakazi la Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kabla ya kulizindua Baraza hilo katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SSRA yakutana na Wahariri wa Vyombo vya Habari jijini Dar

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka (kulia) akizunguma wakati wa semina ya wahariri wa vyombo vya habari, iliyofanyika kwenye ukumbi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ORIFLAME TANZANIA YATOA AJIRA KWA VIJANA 60,000 NCHINI - YATANGAZA BIDHAA...

Dotto MwaibaleKAMPUNI ya Oriflame Tanzania inayouza vipodozi asilia imetoa ajira kwa vijana 60,000 wa kitanzania kwa kusambaza na kuuza bidhaa zake.Hayo yalibainishwa na Meneja Mkazi wa Oriflame...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA MWENYEJI MKUTANO MKUU WA KWANZA WA UMOJA WA VYUO VYA USAFIRI WA ANGA...

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi , Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania, Mbwana . J. Mbwana (Kulia)akisalimiana na Rais wa Umoja wa Vyuo vya Usafiri wa Anga Barani Afrika(AATO) Tchagbele Sadamba wakati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Farmer Forums held in Bunda District

Dominicas Lusasi District Administrative Secretary - Bunda district talk to farmers of being motivated to have the best cotton crop at farmers forum held in Bunda district to give farmers an...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASATA YAMPONGEZA DIAMOND KWA KUSHINDA TUZO YA MSANII BORA WA MWEZI WA KITUO...

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kama msimamizi na mratibu wa sekta ya Sanaa nchini linapenda kutoa pongezi za dhati kwa Msanii wa muziki wa kizazi kipya Nassib Abdul maarufu kama Diamond kwa kushinda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Safari Lager kudhamini Mashindano ya Mchezo wa Pool Afrika 2014

 Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa Mashindano ya Mchezo wa Pool Afrika (2014 All Africa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Radio EFM kuwashukuru Mashabiki wake jijini Dar

 Meneja Uhusiano wa Radio 93.7 EFM,Kanky Mwaigomole (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam leo,wakati akizungumzia kuwepo kwa Tamasha la "Muziki Mnene"...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizara ya uchukuzi yasaini mkataba na kutekeleza amradi wa treni za kisasa

Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) , akisisitiza jambo wakati akiongea na Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani na na mmiliki wa Kampuni ya M/s Shumoja, Robert Shumake, ofisini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISS UNIVERSE TANZANIA 2011 NELLY KAMWELU ENROLLS AT THE NEW YORK FILM ACADEMY

Miss Universe Tanzania 2011 Nelly Kamwelu is in New York and has started her studied in acting at the New York Film Academy . New York Film Academy-School of Film and Acting (NYFA) is a for-profit film...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KILIMANJARO PREMIUM LAGER YAKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI...

Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe akizungumza na baadhi ya wahariri wa vyombo habari jijini Dar es Salaam mchana wa leo,wakati wa semina ya kuzungumzia uzinduzi wa Kampeni ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PIGA KURA UBORESHE MAISHA YA WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI

Shirika linalojibidisha na kutetea na kulinda watu wenye ulemavu wa ngozi nchini Under the Same Sun, (UTSS) limeteuliwa kushindania Tuzo ya Haki za Binadamu ijulikanayo kama "Tulip" itolewayo nchini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEKTA ZA KILIMO,VIWANDA NA BIASHARA ZAKUZA PATO LA TAIFA KWA ASILIMIA 6.9

Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Bw. Morrice Oyuke (katikati) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu ukuaji wa Pato la Taifa kwa bei ya Soko leo jijini Dar es salaam....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KILA MTU ATAKULA KWA UREFU WA KAMBA YAKE

 Hapa ni mmoja wa Mafundi wenye utaalamu uliotukuka wa kupaka rangi majengo marefu jijini Dar,akilipiga sop sop moja jengo lililopo mtaa wa Indra ghand,katikati ya jiji.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI LUMBANGA AFUNGUA RASMI MKUTANO WA MAAFISA MIPANGO

 Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango akisoma hotuba wakati wa mkutano wa mwaka wa wachumi na maafisa mipango unaofanyika jijini Dar es Salaam. Mgeni Rasmi wa mkutano...

View Article
Browsing all 39112 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>