Quantcast
Channel: MTAA KWA MTAA BLOG
Browsing all 39237 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uhuru wa Teknolojia Wafanikishwa, Vita Dhidi ya Malaria na Kilimo Salama...

 Tarehe 5 Mei 2025 Historia imeandikwa.NI rasmi kwamba Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mmiliki wa teknolojia ya uzalishaji wa viuadudu (biolarvicides), viuatilifu hali (bio pesticides)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERENGETI MWENYEJI MAADHIMISHO SIKU YA URITHI WA DUNIA: ELIMU YA UHIFADHI...

 Na. Brigitha Kimario- SerengetiHIFADHI ya Taifa ya Serengeti ambayo ni miongoni mwa Hifadhi zenye hadhi ya urithi wa Dunia tangu mwaka 1981 inatarajia kuwa mwenyeji wa Maadhimisho ya Urithi wa Dunia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RWEBANGIRA ATEMBELEA VITUO VYA KUPIGIA KURA CHUNYA MKOANI MBEYA

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Magdalena K.Rwebangira ametembelea na kukagua vituo vya kuandikishia wapiga Kura vilivyo katika Halmashauri ya wilaya ya Chunya mkoani Mbeya ikiwa ni siku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS SAMIA ALIPA BIL 539 UKAMILISHAJI DARAJA LA JP MAGUFULI, MRADI WAKAMILIKA...

Wakati Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akiingia madarakani mwaka 2021, ujenzi wa daraja la JP Magufuli (Kigongo - Busisi) mkoani Mwanza ulikuwa umefikia takribani asilimia 25 na kutokana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YAWAKILISHWA VEMA KWENYE KAMBI YA MAFUNZO YA HUAWEI SHENZHEN CHINA

 Na Mwandishi WetuWANAFUNZI wenye vipaji katika sekta ya teknolojia ya habari na mawasiliano kutoka vyuo vikuu 12 duniani, wameshiriki katika kambi ya mafunzo ya kimataifa ya Huawei Global Seeds for...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Meridianbet Yazindua “Gates of Olimpia” – Sloti Mpya ya Kipekee Kutoka...

MERIDIANBET inayo furaha kubwa kutangaza uzinduzi wa mchezo mpya wa slot unaochukua wachezaji katika safari ya kimungu isiyosahaulika. “Gates of Olimpia”, kazi mpya ya kipekee kutoka kwa Expanse...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUPOTEA MDUDE NYAGALI, JESHI LA POLISI LACHUNGUZA TUHUMA ZA KUHUSIKA ASAKRI WAKE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BODI YA MICHEZO YA KUBAHATISHA YAAGIZWA KUDHIBITI MICHEZO HARAMU

 Na. Peter Haule, WF, DodomaNaibu Waziri wa Fedha, Mhe Hamad Hassan Chande (Mb), ameiagiza Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT), kuhakikisha sheria na taratibu za michezo hiyo zinafuatwa ili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HakiElimu- Upatikanaji wa Vitabu Shuleni Bado Changamoto

NA EMMANUEL MBATILO, TAASISI ya HakiElimu imeishauri Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kuhakikisha angalau asilimia 15 ya bajeti ya taifa ya 2025/26 inatengwa kwajili ya sekta ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANROADS IMEKAMILISHA UJENZI WA KM 109.49 ZA LAMI NCHINI, UJENZI WA KM 275.51...

Serikali imekamilisha Ujenzi kilomita 109.49 za barabara nchini kwa kiwango cha lami huku ikiendelea na ujenzi wa Kilomita 275.51, hali kadhalika ujenzi wa madaraja matano (5) unaendelea na ujenzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkurugenzi Mkuu TCAA afungua Rasmi Kozi ya Pili ya Cheti kwa Wakufunzi wa...

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Salim Msangi amefungua rasmi kozi ya pili ya cheti kwa Wakufunzi wa Usalama wa Anga (AVSEC Instructors Certification Phase Two Course)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATHIAS CANAL ASHINDA TUZO YA SAMIA KALAMU AWARDS, WAZIRI ULEGA AMPA SHAVU...

Mwanzilishi na Afisa Mtendaji Mkuu wa WazoHuru Media Group Limited Ndg Mathias Canal ameshinda Tuzo mbili za SAMIA KALAMU AWARDS sekta ya Ujenzi na chombo bora cha mtandaoni.Pamoja na zawadi ya Cheti,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MERIDIANBET YAZINDUA “GATES OF OLYMPIA” – SLOTI YA KIFALME YENYE NGUVU ZA...

 Dar es Salaam – Meridianbet kwa mara nyingine tena inavunja mipaka ya burudani ya kasino kwa kutambulisha rasmi “GATES OF OLYMPIA”, mchezo mpya wa sloti uliotambulishwa jana, ukiwa na mandhari ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uhuru wa Habari Zanzibar, Ahadi mdomoni Utekelezaji Mashakani

 Na: Nihifadhi Abdulla.ZANZIBAR ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo imeridhia mikataba mbalimbali ya kimataifa na kikanda inayolinda haki ya uhuru wa habari. Hata hivyo, hali halisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Meridianbet Yamtangaza Bingwa wa Wikendi

 NDUGU mteja wa Meridianbet wikendi hii Meridianbet ilimpata mshindi wa wikendi iliyopita ambaye ameweza kushtua wengi kwa kupiga mshindo mkubwa wa maana kabisa kwenye mechi zake 13.Mshindi huyu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel yatangaza kushirikiana na SpaceX kuleta mtandao wa Starlink barani Afrika

 Dubai, Mei 5, 2025 - Airtel Africa imetangaza kuingia makubaliano na kampuni ya SpaceX kuleta huduma ya intaneti yenye kasi ya juu ya Starlink kwa wateja wake barani Afrika. Hivi sasa, SpaceX imepata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Dkt. Samia Ametunukiwa Medali ya Mother of the Nation Order kutoka kwa...

 RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Medali ya Mother of the Nation Order kutoka kwa Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu Mtukufu Sheikh Mohamed bin Zayed Al...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WILAYA YA NYASA KUPOKEA MWENGE WA UHURU MEI 12

 Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mkoani Ruvuma Peres Magiri,akizungumza na Watumishi wa Idara mbalimbali za Serikali kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya Nyasa juu ya maandalizi ya mbio za Mwenge wa Uhuru...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya CRDB Yawahakikishia Wawekezaji Ukuaji Endelevu wa Uwekezaji wao

Dar es Salaam, Mei 6, 2025 – Kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 30 ya tokea kuanzishwa kwake, Benki ya CRDB imeandaa Kongamano la Wawekezaji jijini Dar es Salaam katika hoteli ya Johari Rotana,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi Wamewatakiwa Kuacha Shughuli Zinazochangia Uharibifu wa Mazingira

 NAIBU Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis amewataka wananchi kuacha shughuli zinazochangia uharibifu wa mazingira zikiwemo kukata miti ovyo.Ametoa wito huo...

View Article
Browsing all 39237 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>