Quantcast
Channel: MTAA KWA MTAA BLOG
Browsing all 39188 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJENZI WA BARABARA ULIOKWAMA KICHANGACHUI ,MAFIA SASA WAKAMILIKA

 Na Mwamvua Mwinyi,Mafia January 17 UJENZI wa kipande cha barabara ya ‘Kichangachui – Hatchery’ kinachojengwa kwa kiwango cha lami Mjini Mafia ambao ulikuwa umekwama kwa takriban mwaka mmoja, upo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MRADI WA UMEME WA JULIUS NYERERE WAFIKIA ASILIMIA 80.2

 Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato, amesema kuwa utekelezaji wa mradi wa umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) utakaozalisha umeme wa kiasi cha megawati 2,115  umefikia asilimia 80.2.Naibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

USHINDI MKUBWA NA MERIDIANBET JIPATIE ODDS BOMBA MECHI ZOTE

 Ukiachana na burudani za soka ulaya, utamu mwingine utakuwa kwenye Milan Derby kati ya AC Milan dhidi ya Inter Milan ni mashindano ya Supercoppa Italiana. Lakini pia kuna mechi za Copa del Rey, Coppa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA ALGERIA NCHINI TANZANIA,LEO...

 Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana,  Akizungumza na, Balozi wa Algeria nchini Tanzania Ahmed Djellal alipofika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zungu agawa Mitungi ya gesi 150 kwa Baba na Mama lishe Kisutu

 Na Humphrey shao Michuzi Tv Mbunge wa Ilala, Naibu Spika,  Mussa Zungu, amekabidhi msaada wa mitungi 150 kwa mama na baba lishe wa Soko la  Kisutu  Stendi ya Zamani.Hatua hiyo ni kuunga mkono maagizo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUFINDI WATOA MKOPO KWA VIKUNDI 26 WENYE THAMANI YA SH.305,000,000

  Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Mufindi Festo Mgina akiongea na vikundi vilivyopata mkopo wa Halmashauri ya wilaya ya Mufindi kuutumia vizuri mkopo huu kwa malengo yaliyokusudiwa.Mwenyekiti wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YATOA BILIONI 60 KUANZA UJENZI BARABARA YA LAMI LIKUYUFUSI-MKENDA

 SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa shilingi bilioni 60 kuanza ujenzi barabara ya lami kilometa 60 kutoka Likuyufusi  Kwenda Mkenda Wilaya ya Songea mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maeneo ya Urithi wa Ukombozi Kukarabatiwa Kuvutia Utalii

 Na Shamimu NyakiNaibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Pauline Gekul amezindua Mpango wa kuweka Alama za Utambuzi katika Maeneo ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika hapa nchini, na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SPIKA WA BUNGE: TKO TAYARI KUBADILI SHERIA ZENYE CHANGAMOTO KIJINSIA

 Na Magreth Kinabo –Mahakama Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson amesema kwamba Bunge liko tayari kubadili sheria zinazoleta changamoto  katika mashauri yanayohusu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BIMA YA AFYA KWA WOTE

  

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA VILIVYO KUWA MSTARI WA MBELE KUPIGANIA UHURU WA...

 Leo tarehe 18 Januari 2023 Viongozi wa vyama vilivyokuwa mstari wa mbele kupigania uhuru wa kusini mwa Afrika vikiongozwa na CCM wawasili zanzibar na kupokelewa na Viongozi wa CCM wakiongozwa na Ndg....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFUMUKO WA BEI ZA BIDHAA NCHINI NI STAHIMILIVU

 takwimu Mkuu wa Serikali Dkt. Albina Chuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Januari 18, 2023 wakati akifungua kikao kazi cha waandishi wa habari.Baadhi ya waataalamu kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EXPANSE STUDIO, MERIDIANBET KUFANYA UZINDUZI KENYA

 Wiki chache tu baada ya kuzindua michezo yao ya hivi karibuni- Wild White Whale na Zombie Apocalypsehatimaye sasa Expanse Studio inakuja Tanzania, kuonyesha bidhaa yake mpya ya hivi karibuni katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIUNDOMBINU YA UMEME NCHINI IMEIMARIKA

  Na.Timotheo Mathayo –Dodoma Waziri wa Nishati, Mhe.January Makamba amesema kuwa hali ya miundombinu ya kusafirisha na kusambaza umeme nchini imeendelea kuimarika na kuwezesha upatikanaji wa umeme wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania na Kenya zajadili ushirikiano Sekta ya Umeme na Gesi

 Na Teresia MhagamaWaziri wa Nishati, Mhe.January Makamba pamoja na Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Mhe.Isaac Njenga wamekutana na kufanya mazungumzo kuhusu ushirikiano wa Tanzania na Kenya katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mhe. Gekul Asisitiza Utunzaji Maeneo ya Historia ya Ukombozi Bara la Afrika

 Na Shamimu Nyaki Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Pauline Gekul Januari 18, 2023 ameagiza wananchi na Taasisi zinazozunguka maeneo ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika kuyatunza na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MBARAWA KUSHUHUDIA WADAU WA SEKTA YA USAFIRISHAJI WAKIKAA MEZA MOJA...

Na Mwandishi WetuWANACHAMA zaidi ya 250 wa Chama Cha Wamiliki wa Malori Tanzania (TATOA) wanatarajia kushiriki kwenye mkutano Mkuu wa Chama hicho utakaofanyika hapo kesho Jumamosi jijini Dar es Salaam,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUKWAA LA BIASHARA TANZANIA INDIA

 Jukwaa la Biashara la Tanzania na India (TIBF) kuimarisha mahusiano ya kibiashara Jukwaa la Biashara la Tanzania na India (TBIF) limedhamiria kukuza mahusiano ya kibishara baina ya nchi hizo mbili kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uzalishaji Umeme na Gesi waongezeka

   Imeelezwa kuwa uwezo wa mitambo ya kuzalisha umeme iliyoungwa katika mfumo wa Gridi ya Taifa umeongezeka na kufikia megawati 1,777.05 mwezi Desemba 2022 sawa na ongezeko la asilimia 4.87,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIKIENDI YENYE ODDS BOMBA MERIDIANBET

 Kila mtu huwa na sehemu anayoipenda Zaidi ambayo inampatia furaha kila siku, Chimbo lako ni moja tu kama ukitaka kubeti wikiendi hii jiunge na familia ya Meridianbet ushindi ni uhakika, kila mechi...

View Article
Browsing all 39188 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>