Quantcast
Channel: MTAA KWA MTAA BLOG
Browsing all 39183 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TALGWU WATOA TAMKO KATIKA MAADHIMISHO SIKU YA MIJI DUNIANI

 Na Mwandishi wetuKATIKA Kuadhimisha siku ya miji duniani ambayo hufanyika kila mwaka ifikapo Oktoba 31, Chama Cha Wafanyakazi wa Serikali za Mtaa Tanzania ( TALGWU) kimesema kuwa haki za Wafanyakazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jisajili Meridianbet na ushinde mizunguko ya bure kucheza michezo ya kasino....

 *Sloti ya Crazy TimeHAYAWI hayawi sasa yamekuwa. Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet kwa kushirikiana na watengenezaji mahiri wa michezo ya kasino za mitandaoni - Evolution Gaming, wanakuletea mchezo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MERIDIANBET YASAPOTI MICHEZO KIJITONYAMA

 KAMPUNI ya Meridianbet imefika Kijitonyama mtaa wa Ali Maua B na kuhakikisha wanatoa sapoti kwa wapenda michezo wa eneo ambapo wamefanikiwa kutoa vifaa vya michezo kwa klabu ya Magic Power ya eneo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAKUKURU RAFIKI YAOKOA MIL.4 ZA SERIKALI YA KIJIJI CHA KANGA MAFIA

 Na Khadija Kalili, Michuzi TvKAIMU Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Pwani, Bakari Alli amesema kuwa wamefanikiwa kuokoa kiasi cha Mil.4 kwa kupitia mikutano ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TCAA yatolea ufafanuzi kuhusu kibali cha ndege iliyokodiwa na CHADEMA

 TCAA  yatolea ufafanuzi wa habari inayosambaa kuhusu kibali cha ndege iliyokodiwa na CHADEMAMamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imesema katika siku za hivi karibuni, hakuna chama chochote cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FILAMU 234 ZIMEPITA KATIKA MCHUJO WA AWALI WA TUZO ZA FILAMU TANZANIA 2023

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Sanaa Utamaduni na Michezo Gerson Msigwa akizungumza na Wanahabari pamoja na Wadau wa Kazi za Sanaa Leo Oktoba 31,2023 Jijini Dar es Salaam wakati wa Kutangaza Filamu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIT YAPONGEZWA KUWAFIKIA WANAFUNZI 971 BUHIGWE, KIGOMA

Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma Kanali Michael Majala Ngayalina ameipongeza Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kuwafikia wanafunzi 971 wa shule ya Sekondari Buyenzi Kwa lengo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROF. KABUDI AWAFUNZA VIONGOZI VIJANA UMUHIMU WA KISWAHILI PAMOJA NA...

Prof Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi (Mb) ameshiriki Kutoa Mafunzo ya uongozi kwa Viongozi Vijana kutoka UWT na UVCCM, ambapo Leo tarehe 01 Novemba katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWONGOZO WA UDHIBITI WA NDANI WA WIZARA YA FEDHA KUIMARISHA UTENDAJI

Na. Peter Haule, WF, MorogoroWajumbe wa Kamati za Ukaguzi za Wizara ya Fedha wametakiwa kusimamia kikamilifu Mwongozo wa Udhibiti wa Ndani wa Wizara (Internal Control Framework) ili kuboresha ufanisi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIMU WA HESABU WANUFAIKA KATIKA MRADI WA MAFUNZO KAZINI

TAASISI za Vyuo Vikuu vya Elimu kutoka nchini Kenya,Zambia na Tanzania zimeshiriki semina iliyo andaliwa na mradi wa mafunzo kazini kwa walimu yenye lengo la kusaidia walimu wa sekondari wanao fundisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJUMBE KAMATI YA UTEKELEZAJI UWT MARIAM ULEGA ALIVYOSHIRIKI UFUNGUZI MAFUNZO...

  Mjumbe  wa Kamati ya Utekelezaji  wa Baraza UWT,Mariam Ulega, akizungumza  na waandishi  wa habari (hawapo pichani) katika ufunguzi wa mafunzo ya siku kumi ya Uongozi yaliyodhaminiwa  na  Chama Cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZALISHAJI WA CHUMVI MTWARA WATAKIWA KUZALISHA CHUMVI KWA KUZINGATIA VIWANGO

WAZALISHAJI wa Chumvi mkoani Mtwara wametakiwa kuendelea kuzalisha na kufungasha chumvi iliyo bora kwa kuzingatia viwango, ubora na usalama ili kulinda afya ya mlaji pamoja na kupata masoko mengi ndani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YATOA TRILIONI 6.7 KUONGEZA UWEKEZAJI KATIKA TAFITI ZA MAGONJWA...

 Mkurugenzi wa huduma za Tiba kutoka wizara ya Afya, Prof. Paschal Rugajo akipokea Tuzo ya shukrani kwa niaba ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Afya,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mshauri wa Kodi Kizimbani kwa Tuhuma za Kuisababishia TRA Hasara

 MSHAURI wa Kodi, Denis Tililo (29) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam akikabiliwa na mashtaka nane likiwemo la utakatishaji na kuisababishia Mamlaka ya Mapato Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wateja wa betPawa wajishindia TSh53.8 Bilioni ndani ya siku 10

Umekuwa ushindi uliovunja rekodi kwa wateja wa betPawa nchini Tanzania, ambao walijishindia TSh 53.8 Bilioni ndani ya siku 10.Wateja 335,706 tofauti walisherehekea ushindi wakati wa mafanikio ya kuweza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Samia katika Mkutano wa Kimataifa wa 23 wa Baraza la Utalii Duniani...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye Mkutano wa Kimataifa wa 23 wa Baraza la Utalii Duniani (WTTC) unaofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kigali (Kigali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BANDARI QUEENS YAENDELEA KUTOA DOZI LIGI DARAJA LA PILI

Timu ya Netiboli ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania- TPA “ Bandari Queens “ imeendelea kutembeza vipigo kwa timu pinzani Katika Mashindano ya ligi daraja la pili Taifa yanayofanyika Mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Y9 Microfinance yaendelea kumwaga zawadi kwa washindi wake,zimo simu janja...

 Na Mwandishi wetu.Taasisi ya kifedha ya Y9 Microfinance imemkabidhi Bi ummy Kuruthumu mkazi wa zanzibar zawadi yake ya simu janja baada ya kuibuka mshindi katika droo ya tatu ya kampeni ya pakua App...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI MKUU REA AWATAKA WAKANDARASI KUTEKELEZA MIRADI BILA KUICHAFUA...

Na Veronica Simba - REAMkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy amewataka Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini, kuhakikisha wanafanya kazi zao kwa weledi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yaagiza kuanzishwa kwa Klabu za Kidijiti katika Shule na Vyuo

*Dkt.Jabir asema zama za sasa ni zama za taarifaNa Chalila Kibuda , Michuzi TVSERIKALI imetoa wito kwa wakuu wa shule za msingi na sekondari pamoja na vyuo wahamasishe kuanzisha klabu za kidijiti ili...

View Article
Browsing all 39183 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>