Quantcast
Channel: MTAA KWA MTAA BLOG
Browsing all 39183 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tigo Yaibua Mamilionea Saba Zaidi Katika Promosheni Murwa ya Tigo Pesa

Mojawapo ya washindi 35 wa zawadi za kila siku za shilingi milioni moja na shilingi laki tano katika promosheni inayoendelea ya 'Tumia Tigo Pesa na Ushinde', Prochess Mroso (kulia) mkaazi wa Kimara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO :RC RUVUMA ASEMA WAANDISHI WA HABARI KATIKA MKOA WA RUVUMA SIO MAADUI

Na Ditha NyoniMkuu wa mkoa wa Ruvuma, Christina Mndeme amewataka wakuuu wa idara na taasisi mbalimbali mkoani hapo kutowaona waandishi wa habari kama maadui kwao badala yake wawape habari kwa ajili ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC INJINIA NDIKILO ATAKA KILUVYA UNITED WAIFUNGE RUVU SHOOTING JUMAMOSI

MKUU wa Mkoa wa Pwani Inginia Everist Ndikilo leo ametoa hamasa kwa kuichangia  timu ya Kiluvya United  kiasi cha  Sh. Mil.2.2 ikiwa kwa ajili ya kuweka kambi  kuelekea mechi yao na Ruvu Shooting...

View Article

AMSHA KIPAJI CHAKO NA MASOSO...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB YAANZA MCHAKATO WA KUPATA MRITHI WA DKT. KIMEI

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei (katikati) akizungumza na waandishi wa Habari ofisini kwake jijini Dar es salaam leo, kuhusu Benki hiyo kuanza mchakato wa kumtafuta mrithi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATUNA TATIZO LA DAWA NCHI NZIMA-DKT. NDUGULILE

Na Chalila Kibuda,Globu ya jamiiSerikali imesema kuwa hakuna tatizo la dawa katika sehemu kutoa huduma za afya katika Hospitali, Vituo vya Afya , Dispensari pamoja na Zahanati.Hayo ameyasema Naibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJENZI WA CHUO CHA VETA MKOA WA SIMIYU KUANZA MWEZI MACHI 2018

Na Stella Kalinga, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa SimiyuWaziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa. Joyce Ndalichako amesema Serikali inatarajia kuanza ujenzi wa Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi(VETA) cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKAGUZI MACHIMBO YA BUHEMBA KUKAMILIKA KABLA JANUARI 10, 2018

Serikali imeagiza kufikia Januari 10, 2018 Ukaguzi wa Usalama kwenye eneo la Machimbo ya Dhahabu ya Buhemba, Wilayani Butiama Mkoani Mara uwe umekamilika ili shughuli za uchimbaji zilizokuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA POLISI MKOANI NJOMBE LINAMSAKA ASKARI PC ZAKAYO DOTO KWA TUHUMA ZA...

Kamanda wa polisi Mkoa wa Njombe,  Pudensiana Protasi akizungumza na waandishi wa habari Na Amiri Kilagalila, NjombeJeshi la polisi  mkoani Njombe linamtafuta askari PC Zakayo Doto kwa kosa la kumuua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA TUKUZA UTALII TANZANIA LAZINDULIWA JIJINI ARUSHA

Na.Vero Ignatus Arusha. Katibu mkuu baraza la Sanaa Tanzania amewataka wazazi na walezi wa hapa nchini kuwalea watoto na kuhakikisha kuwa wanaishi katika maadili ili kuzuia mmomonyoko wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOCHI ZA TRAFIKI ZIMESAIDIA KUDHIBITI MWENDO KASI BARABARANI, KUPUNGUZA...

Na Said Mwishehe, Blogu ya JamiiJESHI la  Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limesema litaendelea kutumia tochi kwa ajili ya kudhibiti mwendokasi huku likihimiza watuamiaji wa barabara kuzingatia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI NISHATI SUBIRA MGALU AAGIZA REA KUMCHUKULIA HATUA MKANDARASI WA...

Na Zainab Nyamka,Globu ya Jamii.NAIBU Waziri wa Nishati Subira Mgalu ameagiza mkandarasi wa mradi wa umeme wa Vijijini REA awamu ya pili Kwa Mkoa wa Pwani ambayo ni kampuni ya MBH kuchukuliwa hatua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZAZI PELEKENI WATOTO SHULE-NAIBU WAZIRI ULEGA

Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii.Naibu Waziri wa Uvuvi na Mifugo, Abdallah Ulega amesema kuwa changamoto ya wataalam katika halmashauri ya Mkuranga itamalizwa pale wanamkuranga wakiamua kusomesha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA MAREHEMU MAYAGE WAAGWA LEO NYUMBANI KWAKE MBWENI

Na Said Mwishehe, Blogu  ya JamiiTASNIA ya habari imeombwa kuendeleza mapenzi baina yao kama walivyoonyesha katika ugonjwa wa Mayage S. Mayage aliyefariki juzi.Hayo yamesemwa leo  mchana huu na Padre...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AWASILISHA FOMU ZAKE ZA TAMKO LA RASILIMALI NA MADENI KWA...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika Jengo la Sukari House lenye Ofisi za Sekretarieti ya Maadili ya viongozi wa Umma kwa ajili ya  kuwasilisha Fomu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU AKUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO JIMBONI KWAKE WILAYANI RUANGWA,...

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Lindi Godfrey Zambi, alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Nachingwea, kwa ajili ya mapumziko ya mwisho wa mwaka ambapo aliamua kukagua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Washiriki shindano la Watanzania wenye umri mdogo na wenye ushawishi watajwa

Na Mwandishi WetuWashiriki wa shindano la Avance Media kwa Watanzania 50 wenye umri mdogo na wenye ushawishi kwa mwaka 2017 wametajwa. Watanzania hao 50 huchaguliwa kwa kupigiwa kura wakitokea katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YASIKIA KILIO CHA WADAU WA SEKTA YA UWINDAJI WA KITALII NCHINI,...

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akizungumza na wadau wa sekta ya uwindaji wa kitalii katika mkutano uliondaliwa na Wizara yake mjini Dodoma jana kwa ajili ya kujadili mikakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA WANAOISHI SAUDI ARABIA WAKUTANA KWA MAJADILIANO

Na Mwandishi Maalum, Saudi ArabiaJumuiya ya Watanzania waishio Jeddah nchini Saudi Arabia ' Tanzania Welfare Society' hivi karibuni ilifanya Mkutano wa pamoja wa wanajumuiya Watanzania na Wanadiaspora....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI 10 WA VYAMA VYA USHIRIKA WAKAMATWE NA KUHOJIWA

Na Chalila Kibuda, Globu ya jamiiMkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evaristy Ndikilo ameagiza jeshi la polisi mkoa kuwakamata viongozi wa vikundi 10 vya usimamizi wa Korosho vilivyofanya udanganyifu kwa...

View Article
Browsing all 39183 articles
Browse latest View live