Quantcast
Channel: MTAA KWA MTAA BLOG
Viewing all 39112 articles
Browse latest View live

SLOTI YA 81 VEGAS MAGIC USHINDI UPO KWENYE MATUNDA!!

$
0
0

 

TUMEANDAA zawadi nzuri sana kwa wapenzi wote wa sloti za matunda. Mchezo huu wa kasino mtandaoni ya Meridianbet hautakuwa tu katika muundo usio wa kawaida lakini utakuletea bonasi kubwa sana. Jukumu lako ni kufurahia sloti hizi za kasino.

81 Vegas Magic ni sloti ya kupiga pesa kasino mtandaoni iliyotengenezwa na mtoa huduma Tom Horn. Alama za Wilds zenye vizidishio za kuvutia zinakungoja katika mchezo huu wa kasino. Matunda fulani yatakuletea mara mbili ya beti yako, na pia kuna bonasi ya kubashiri ambayo ni ya kipekee.

Taarifa za Msingi

81 Vegas Magic ni sloti ya kasino mtandaoni inayokuruhusu kupiga pesa mtandaoni. Sloti hii ambayo ina nguzo nne zilizopangwa katika mistari mitatu na ina jumla ya njia 81 za kushinda. Kupata ushindi wowote, unahitaji kupata alama tatu au nne zinazofanana katika mfululizo wa ushindi.

Ushindi wote unahesabiwa kutoka kushoto kwenda kulia, kuanzia na nguzo ya kwanza upande wa kushoto.

Ushindi mmoja wa mfululizo unalipwa, daima ule wenye thamani kubwa zaidi. Jumla ya ushindi inawezekana ikiwa unaunganisha katika mfululizo wa ushindi kadhaa wakati huo huo.

Alama 12 zinazofanana kwenye nguzo au alama moja inayounganishwa na kadi ya wild huleta ushindi kwenye njia zote za kushinda zinazowezekana.

Katika uwanja waku-Bet, kuna vitufe vya “plus” na “minus” ambavyo unaweza kutumia kuweka thamani ya dau kwa kila spin.

Pia kuna chaguo la Kucheza moja kwa moja (Autoplay) unaloweza kuwasha wakati wowote unapotaka. Kupitia chaguo hili, unaweza kuweka hadi spins 500.

Wachezaji wa High Roller wataipenda zaidi kifungo cha Bet Max. Kwa kubofya uga huu, unaweka moja kwa moja dau kubwa zaidi kwa kila spin.

Ikiwa unapenda mchezo wa kasi zaidi, unaweza kuwasha Modo ya Turbo katika chaguzi za mchezo. Unaweza kurekebisha athari za sauti kwenye kona ya chini upande wa kulia.

Alama za Mashine ya 81 Vegas Magic

Linapokuja suala la alama za mchezo huu wa sloti, miti minne ya matunda ina thamani ndogo zaidi. Hizi ni ndimu, machungwa, cheri, na plum. Zinakuja na thamani sawa.

Kisha kuna alama ya tikiti, ambayo ni ya thamani zaidi kati ya alama za matunda. Alama nne za tikiti hizi katika mfululizo wa ushindi zitakuletea mara nne ya dau lako.

Kisha utaona kengele ya dhahabu. Ikiwa utaunganisha alama nne za kengele hizi katika mfululizo wa ushindi, utapata mara nane ya dau lako.

Baada ya kengele, utaona alama nyingine yenye rangi ya dhahabu, ambayo ni nyota. Ikiwa utaunganisha alama nne za nyota hizi katika mfululizo wa ushindi, utapata mara 16 ya dau lako.

Alama ya thamani zaidi katika mchezo, kama katika mashine nyingi za kawaida, ni alama ya 7 Nyekundu. Alama nne za 7 hizi katika mfululizo wa ushindi zitakuletea mara 32 ya dau lako.

Michezo ya Bonasi

Aina ya kwanza ya bonasi inapatikana kupitia alama nne zenye thamani ndogo. Ikiwa zitaonekana mara 12 kwenye nguzo, faida zote utakazopata kwa msaada wao zitakuwa maradufu.

Kwenye nguzo utaona pia jokers ambao huleta bonasi maalum kama ifuatavyo:
Joker mmoja kwenye nguzo atadouble thamani ya ushindi wako wote.
Joker wawili kwenye nguzo watadouble thamani ya ushindi wako wote.
Joker watatu kwenye nguzo watapandisha thamani ya ushindi wako mara nane.

NB: Kasino Mtandaoni ya Meridianbet inakuja na bonasi Baab Kubwa, kupitia mchezo wa Aviator unakupa beti za bure 200 kila siku zikitoka bila mpangilio. Kusanya Beti za Bure.


Matukio mbalimbali katika mkutano wa Baraza la vVyama vya siasa na Wadau Demokrasia

$
0
0

 

Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda wakijadiliana na Waziri wa Zamani na Mwanasiasa Mkongwe Steven Wasira kwenye Mkutano Maalum wa Baraza la Vyama Vya Siasa na Wadau wa Demokrasia kutathimini utekelezaji wa mapendekezo ya Kikosi Kazii na Hali ya Siasa Nchini unaofanyika jijini Dar es Salaam.

Askofu Bagonza na Askofu Mwamamakula wakifatilia mjadala katika Mkutano Maalum wa Baraza la Vyama Vya Siasa na Wadau wa Demokrasia kutathimini utekelezaji wa mapendekezo ya Kikosi Kazii na Hali ya Siasa Nchini unaofanyika jijini Dar es Salaam.





Baadhi ya matukio katika  Mkutano Maalum wa Baraza la Vyama Vya Siasa na Wadau wa Demokrasia kutathimini utekelezaji wa mapendekezo ya Kikosi Kazii na Hali ya Siasa Nchini unaofanyika jijini Dar es Salaam

Shabiki wa Yanga ashinda Sh120.1 million za M-Bet

$
0
0

 Na Mwandishi wetu

Dar es Salaam. Shabiki wa klabu ya Yanga wa, Paulo Martin ameshinda Sh120,989,610 baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 12 za ligi mbalimbali duniani kupitia mchezo wa Perfect 12 wa kampuni ya M-Bet.

Martin ambaye ni mwanajeshi wa Jeshi na mjasiriamali alikabidhiwa fedha zake na Mkurugenzi wa Masoko wa M-Bet Tanzania, Allen Mushi katika hafla fupi iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam.

Mushi alisema kuwa Martin anaungana na washindi wengine mbalimbali ambao wameshinda mamilioni kupitia droo ya Perfect 12 na kuweza kubadilisha maisha yao.

“Martin anakuwa mmoja wa wanachama wa nyumba yao ya mabingwa ambao kwa sasa imesheheni mamilionea mbalimbali. Tunaposema M-Bet ni nyumba ya mabingwa tunakuwa na maana maalum, mpaka sasa tumewazadia mamilioni washindi mbalimbali” alisema Mushi.

Alisema kuwa M-Bet itaendelea kubadilisha maisha ya Watanzania kupitia michezo yake mbalimbali ya kubashiri na kuwaomba watu wenye umri kuanzia miaka 18 kushiriki.

“Kubashiri si kazi, naomba watu wajue, ni burudani ambayo inakufanya kuibuka milionea endapo utashinda.M-Bet inajisikia fahari sana kuendelea kuwatoa washindi na kubadili maisha yao,” alisisitiza Mushi.

Kwa upande wake, Martin alisema kuwa alianza kubashiri miaka mitatu iliyopita na anashukuru ndoto zake kutimia.

“Nimeanza kubashiri kupitia M-Bet na sijahama kwa sababu ni kampuni imekuwa ikitangaza washindi wengi. Nimeona washindi wengi na nikaamini kuwa ipo siku na mimi nitakuwa natangazwa kwa ushindi. Ndoto yangu imetimia. Nitatumia fedha hizo kwa kuendelea biashara zangu na shughuli nyingine za kimaendeleo,” alisema Paulo.


Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya M-BET Tanzania, Allen Mushi (kulia) akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya Sh120,989,610 shabiki wa Yanga, Paulo Martin baada ya kubashiri kwa usahihi matokeo ya mechi 12 ka droo ya Perfect 12 y kampuni ya M-Bet.

Shabiki wa klabu ya Yanga, Paulo Martin akipozi baada ya kukabidhiwa mfano wa hundi yenye thamani ya Sh120,989,610 baada ya kubashiri kwa usahihi matokeo ya mechi 12 ka droo ya Perfect 12 y kampuni ya M-Bet.

MWENGE WA UHURU WAKAGUA UHIFADHI WA CHANZO CHA MAJI IVUMWA MBEYA MJINI

$
0
0
Mwenge wa Uhuru kitaifa-2023 umetembelea na kukagua Uhifadhi wa chanzo cha maji cha Ivumwe Wilaya ya Mbeya Mjini ambapo chanzo hicho kina uwezo wa kuzalisha maji lita milioni 29 kwa siku.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa- 2023 ameipongeza Bodi ya maji ya Bonde la Ziwa Rukwa kwa kuendelea kulinda na kuhifadhi chanzo hicho kwa upandaji wa miti 490 ambayo ni rafiki wa Mazingira.

Kwa upande Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi(Mb), Naibu Waziri wa Maji amesisitiza kuwa wakazi wa Kata ya Mwaikibete waendelea kutunza na kulinda chanzo cha maji pamoja na Mazingira kwa ujumla ili kuhakikisha huduma ya maji inakuwa endelevu.

Pia, Mhe. Mahundi ameendelea kusema kuwa katika kuboresha huduma ya maji kwenye jiji la Mbeya, Serikali kwa mwaka huu wa fedha inaendelea na utekelezaji wa mradi wa maji wa Mto Kiwira kwa gharama ya shilingi bilioni 117 ambapo mpaka sasa shilingi Bilioni 14.9 zimetolewa ikiwa ni malipo ya awali ya Mkandarasi. Kazi zinazoendelea ni ujenzi wa kambi ya Mkandarasi na usanifu wa kina wa mradi

Naye,Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini na Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt Tulia Ackson ameishukru Serikali kwa utekelezaji wa miradi ya maji ndani Jiji la Mbeya ukiwemo mradi wa maji wa Mto Kiwira. Aidha Spika wa Bunge amesema kuwa Chanzo cha Maji cha Ivumwe kinatumika kwa ajili ya usambazaji maji kwa wakazi wa mitaa ya Forest mpya, forest ya Zamani, Mwanjelwa, old airport, Iyela, Iyunga, Iwambi, Viwanda vya Coca-Cola, Veta pamoja na mtaa wa Nanenane.





MJUMBE JUMUIYA YA WAZAZI MKOA WA SINGIDA ASHAURI WANANCHI WACHUKUE TAHADHARI YA MVUA

$
0
0

 

Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV

MJUMBE wa Kamati ya  Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Singida Ahmed Misanga  amewaomba wananchi kuchukua tahadhari mapema ya tahadhari ya mvua kubwa kupita kiwango cha Elnino  kwa kuhakikisha njia za maji zinakuwa safi na hakuna uchafu wa kuzuia maji kupita.


Kwa mujibu wa tahadhari ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania( TMA) ni kwamba kuna uwezekano mkubwa wa kunyesha mvua kubwa kuanzia Oktoba mwaka huu.

Akizungumza leo Misanga amesisitiza kutokana na tahadhari ya TMA ni vema wananchi wakaanza kuchukua hatua ikiwemo kusafisha mitaro na njia za maji kama hatua kupunguza madhara ya mvua hizo iwapo zitanyesha.

"Lazima kuchukuwa tahadhari mapema kwa kuhakikisha njia za maji ni safi na hakuna uchafu unao zuia maji kupita.Tusafishe mitaro ya maji na kuchoma taka zote na kama kuna majani ama miti katika mitaro ya maji yaondolewe yote

"Tuhahikikishe taka zote zinapelekwa  katika dampo za taka ya miji yetu.Madampu yaliyopo katika makazi ,soko , mjini taka zisikae kwa muda mrefu,  ziwe zinatolewa haraka na kupelekwa  dampu kuu ili kuepuka  magonjwa ya mlipuko...

"Kama magonjwa ya kuhara,  kichocho na magonjwa mengine.Mvua zitakapo anza kunyesha na kuozesha taka katika makazi ya watu na maeneo yanayo wazunguka ndo huchochea magonjwa ya mlipuko, " amesema.

Ameongeza wananchi wahakikishe mitaro katika nyumba zao ziwe safi na kuweka mazingira safi.Tutumie fursa hii kupanda miti zaidi katika maeneo yanayowazunguka na pia kufanya kazi ya kilimo 




 

TAASISI YA TOAM KUZINDUA MKAKATI WA KILIMO HAI

$
0
0

 TAASISI ya Kilimo hai nchini (TOAM) imepanga kuzindua mkakati wa kilimo hai wenye kuhimiza umuhimu wa kutunza asili kwa ajili ya uendelevu wa afya na mazingira na kuboresha mnyororo mzima wa kilimo kuanzia uzalishaji wa mazao mbalimbali.


Mtendaji Mkuu wa TOAM, Bakari Mongo amesema hayo leo wakati akizungumzia kufanyika Kwa mkutano wa tatu wa kitaifa wa kilimo hai (NEOAC) unaotarajiwa kufanyika Novemba 8 Hadi 9,2023 mkoani Dodoma ukishirikisha wadau mbalimbali ikiwemo serikali.

Ameeleza kuwa mkakati huo ambao utazinduliwa wakati wa mkutano huo unawalenga wazalishaji kuwa na kilimo endelevu lakini pia ukiangalia suala la afya ya udongo na mbegu kwa ujumla.

Mongo amesema pia watatumia mkutano huo kuongeza washiriki kutoka taasisi na mashirika mbalimbali.

"Mkutano huo una kauli mbiu ya kutunza vya asili kwa afya bora, ambayo inalenga kuchochea juhudi na mchakato wa kuhamisha kilimo hai kufikia kwenye matokeo katika ngazi ya nchi," amesisitiza.

Mongo amesema wadau wa kilimo watatoa uzoefu wao, changamoto na simulizi za mafanikio katika kukuza uelewa na ushirikiano.

Kuhusu ushiriki wa kilimo hai kwenye miradi ya kilimo nchini, Mwenyekiti wa Kilimo hai Tanzania, Dkt Mwatima Juma ameshauri serikali kutenga kiwango cha fedha ili kilimo hai kuwezesha kutekelezwa nchini.

Amesema katika mradi wa BBT, iwapo serikali ina fedha za utekelezaj ione umuhimu wa kuwezesha kilimo hicho lakini pia upande mwingine wao waelimishe kuhusu kilimo hai.

"Kama serikali imekiri kuwa inazo fedha dola za Marekani milioni 160, kwa ajili ya BBT ione umuhimu wa kutenga hata Dola 1,000 kwa ajili ya wadau kutekeleza mradi wa kilimo hai," amesema Dkt. Mwatima.

Amesema kilimo hai sio suala la wakulima pekee bali pia ni la walaji ili waweze kusema wanachokitaka kwamba watumie mazao yenye msingi wa afya zao.

Ameshauri serikali pia kusaidia kutoa elimu zaidi ya jilimo hai kwani inaimarisha afya na kutunza mazingira pia.
Mtendaji Mkuu wa Toam, Bakari Mongo, akizungumza na waandishi wa habari wakati akItangaza juu ya uwepo wa mkutano wa tatu wa kitaifa wa Kilimo Hai ( NEOAC) utakaofanyika Novemba 8 hadi 9, 2023 jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa TOAM Tanzania na mjumbe wa kamati ya kumshauri Rais kwenye uhakika wa chakula nchini Dkt. Mwatima Juma, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari juu ya kilimo hai wakati wa kutangazwa kwa  mkutano wa tatu wa kitaifa wa Kilimo Hai ( NEOAC) utakaofanyika Novemba 8 hadi 9, 2023 jijini Dodoma
Mtendaji Mkuu wa Toam, Bakari Mongo, akizungumza na waandishi wa habari wakati akItangaza juu ya uwepo wa mkutano wa tatu wa kitaifa wa Kilimo Hai ( NEOAC) utakaofanyika Novemba 8 hadi 9, 2023 jijini Dodoma, Kulia kwake ni Charles Bupambe mjasiliamali kutoka Kilimo Hai na Abdallah Ramadhani, mratibu kutoka Tabio.

Abdallah Ramadhani akizungumza wakati wa kikao hicho.

MFAHAMU MZEE ALIYEMFICHA NYERERE KWA SAA KUMI KWENYE KIHENGE NAMTUMBO

$
0
0

 

Na Albano Midelo,Namtumbo.

TAMASHA kubwa la kutangaza fursa mbalimbali zilizopo wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma linatarajia kufanyika kwa siku mbili kuanzia Septemba 22 hadi 23 mwaka huu ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Kilimo Mheshimiwa Hussein Bashe.

Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Mheshimiwa Ngollo Malenya anazitaja baadhi ya fursa katika tamasha hilo ambalo limepewa jina la Namtumbo Kihenge ni kutangaza fursa za uwekezaji kwenye sekta ya utalii kwa kuwa wilaya hiyo pia imebarikiwa kuwa na vivutio vya utalii wa kiikolojia,kihistoria
na kiutamaduni.

“Sisi Wilaya ya Namtumbo ni miongoni mwa Wilaya nchini ambazo zimebeba historia kubwa katika harakati za kupigania Uhuru wa Tanganyika ambao ulipatikana mwaka 1961’’,alisema.

Analitaja eneo la kitongoji cha Mikulumo kata ya Luegu wilayani Namtumbo kuwa lina historia iliyotukuta hapa nchini kwa kuwa ni eneo ambalo alijificha baba wa Taifa Mwl.Julius Nyerere wakati anatafutwa na askari wa wakoloni katika harakati za kudai Uhuru kuanzia Novemba 24 hadi 25,1955.

Anasema ili kulinda urithi wa eneo hilo serikali imeboresha mnara wa kumbukumbu ya Mwl.Nyerere na kwamba kati ya walinzi wanne waliomlinda Baba wa Taifa alipojificha katika eneo hilo mwaka 1955,walinzi watatu wamefariki lakini,mlinzi mmoja mzee Maulid Hassan mwenye umri
wa miaka 90 bado yupo hai na anaishi jirani na mnara huo.

Akizungumza namna alivyomficha Baba wa Taifa na kumuokoa kutoka kwa
askari wa wakoloni waliokuwa wanamsaka Baba wa Taifa mwaka
1955,Mzee Maulid anasema kipindi hicho akiwa kijana wa umri wa miaka
20 aliambiwa na baba yake mzee Hassan kumficha Nyerere ili asikamatwe
na wakoloni .

Anasema wazungu walipofika walimuulizia baba yake na yeye akajibu yupo
mjini kwenye mkutano na kwamba kwa siku tatu alikuwa hajarudi
nyumbani.

Mzee Maulid Hassan anabainisha kuwa baba wa Taifa alimficha kwenye
vihenge vya baba yake vya kuhifadhia chakula ambavyo vilikuwa nyuma
ya nyumba yao.

“Nilimficha Nyerere hapa kwenye vihenge wakati huo msitu ulikuwa mnene
sana,tangu asubuhi alishinda kutwa nzima kwenye vihenge,mama
alimpikia ugali wa ulezi na nyama ya kuku aliupenda sana nilikula naye na
kushinda naye kutwa nzima kwenye vihenge,niliamua kwa ujasiri lolote na
liwe, kama wazungu wakigundua bora mimi waniue na wamuache
Nyerere’’,alisisitiza Mzee Maulid.

Hata hivyo alisema muda wote aliokaa na Nyerere alikuwa anazungumzia
Tanganyika kupata Uhuru kutoka kwa wakoloni na kwamba katika kipindi
hicho yeye ndiye alikuwa mtu wa karibu wa Baba wa Taifa hadi
alipochukuliwa jioni na kuondoka akiwa salama kabisa.

Kwa upande wake Afisa Mtendaji wa Kata ya Luegu Ditha Kayombo
amelitaja eneo hilo kuwa lina utajiri wa historia ya Tanganyika kwa kuwa
hadi sasa mzee aliyemficha Baba wa Taifa akiwa wilayani Namtumbo
katika harakati za kudai Uhuru mwaka 1955 mzee Hassan bado yupo hai
na serikali imejenga mnara wa kumbukumbu katika eneo hilo.

Anatoa rai kwa Wizara ya Maliasili na Utalii kuboresha eneo hilo kwa
kuongeza majengo na wananchi waliopo jirani na eneo hilo wasogezwe
pembeni ili eneo hilo libaki kuwa kumbukumbu ya Baba wa Taifa
Mwl.Julius Nyerere.

Ameishauri Serikali kuhakikisha Mzee Maulid Hassan aliyemficha baba wa
Taifa ili kumuokoa na askari wa kikoloni mwaka 1955 anapatiwa huduma
za msingi kama vile maji,umeme,huduma ya afya na kujengewa makazi ya
kisasa.

Serikali wilayani Namtumbo imeamua kwa vitendo kumuunga mkono Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa
kuanzisha tamasha la Namtumbo Kihenge lililosheheni fursa lukuki za
uwekezaji na uchumi.
Kushoto ni Mzee Maulid Hassan mwenye umri wa miaka 90 ambaye alikuwa miongoni mwa walinzi wanne waliomficha  Baba wa Taifa Mwl.Julius Nyerere kwenye kihenge katika kijiji cha Luegu wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma katika harakati za kudai Uhuru mwaka 1955.Baba wa wa Taifa alikuwa anatafutwa na Askari wa kikoloni ambapo mzee huyo alimficha kwa saa kumi na baba wa Taifa kutoa salama.

Eneo lililokuwa na vihenge vya kuhifadhia chakula katika kijiji cha Luegu wilayani Namtumbo ambako baba wa Taifa alifichwa kwa saa kumi kwenye vihenge hivyo na kutolewa salama na kuendelea na safari ya kudai Uhuru.

Mnara wa kumbukumbu katika eneo la kijiji cha Luegu wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma ambako Baba wa Taifa alijificha ili asikamtwe na askari wa wakoloni mwaka 1955 katika harakati za kudai Uhuru wa Tanganyika.
Mzee Maulid Hassan mwenye umri wa miaka 90 Askari pekee alibakia hai kati ya Askari wanne waliomlinda na kumficha baba wa Taifa katika kijiji cha Luegu wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma katika harakati za kudai uhuru wa Tanganyika mwaka 1955.
Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Mheshimiwa Ngollo Malenya akiwa ofisini kwake mjini Namtumbo akizungumza kufanyika tamasha kubwa la kutangaza fursa mbalimballi zilizopo wilayani humo,tamasha hilo linatarajia kufanyika kwa siku mbili kuanzia Septemba 22 hadi 23 mwaka huu.

WAZIRI GWAJIMA AWATAKA WAMILIKI WA KUMBI ZA STAREHE KUZINGATIA SHERIA YA MTOTO KUEPUSHA MMOMONYOKO WA MAADILI

$
0
0
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt.Dorothy Gwajima amemuelekeza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuunda Kamati mtambuka na kuipa jukumu la kuja na mpango wa haraka na wa muda mfupi wa kudhibiti uvunjifu wa sheria ya mtoto na sheria nyingine za nchi zinazohusika na kutunza maadili.

Ametoa maagizo hayo leo Septemba 12,2023 Jijini Dar es Salaam, wakati alipokutana na wadau mbalimbali kufuatia kwa kushamiri vitendo vya kusambaa kwa maudhui yanayohusisha watoto wakicheza muziki usio na maadili kwenye kumbi za starehe.

Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri Gwajima amesema kuwa kupitia mpango huo, wadau mbalimbali wakiwemo BASATA, TCRA, Wizara ya Katiba na Sheria, Bodi ya Filamu, Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo pamoja na wadau wengine muhimu waweze kushiriki kikamilifu katika kutokomeza yanayochochea mmomonyoko wa maadili kwa watoto wetu.

"Natoa siku 21 nipokee yatokanayo na kazi ya kamati hii ili nitoe mrejesho kwa jamii na kuandaa mjadala wa wazi ili jamii nayo itoe maoni yajumuishwe kwenye kazi ya kamati kwa ajili ya umiliki wa pamoja kama jamii". Amesema Waziri Dkt.Gwajima

Aidha Waziri Gwajima amewataka Wamiliki wa kumbi za starehe na Washereheshaji(MC) nchini, kuzingatia Sheria ya Mtoto ya Mwaka 2009 ili kuwaepusha watoto na wimbi la mmomonyoko wa maadili.

Amesema kuwa washehereshaji na wamiliki wa kumbi za starehe, wapiga muziki (DJs) na Wazazi wana nafasi kubwa katika kumlinda mtoto ili kudhibiti mmomonyoko wa maadili dhidi va watoto kupitia Sheria ya mtoto, Sura ya 13 kifungu cha 158 cha Katazo la Jumla.

"Pamoja na juhudi zinazofanywa a Wizara kwa kushirikiana na Wadau, bado baadhi ya familia na jamii wakiwemo wazazi na walezi hawatimizi wajibu wao kwa ufanisi kwenye malezi na makuzi stahiki ya watoto". Ameeleza


YASHAURIWA TAASISI YA LISHE TANZANIA IPATIWE NGUVU ZAIDI

$
0
0

 
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imetoa wito kwa Serikali kuendelea kuweka kipaumbele katika utekelezaji wa afua mbalimbali za lishe nchini, ili kuwa Taifa lenye watu wenye afya na lishe bora na kuweza kufikia malengo endelevu.

Hayo yameeelezwa leo jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI, Mhe. Stanslaus Nyongo (MB) mara baada ya kufanya ziara katika Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania kwa lengo la kujifunza na kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na Taasisi hiyo.

Nyongo amesema, afua za lishe zinahitaji kuwa na uwekezaji wa kutosha na kupewa kipaumbele, kwa kuwa Taifa lisipowekeza kwenye lishe linaweza kujikuta linatibu wananchi wengi kwa sababu ya lishe mbovu na kushauri matumizi ya lishe kama Tiba namba moja yenye gharama nafuu.

“Waheshimiwa wabunge wenzangu hili halina mjadala twendeni tukaishauri Serikali tuhakikishe wanaweka kipaumbele kwenye afua za lishe, tutaendelea kutibu wananchi wengi kwa sababu ya lishe mbovu wakati lishe ni tiba namba moja tena ya bei nafuu.”Amesema Nyongo.

Pia amesisitiza elimu ya lishe kuendelea kutolewa zaidi kwa jamii ya watanzania, ikihusisha makundi yote muhimu, kwani bado kuna upotoshaji mkubwa unaofanyika kwenye masuala ya lishe.

"Elimu zaidi inahitajika kwa watanzania katika masuala ya lishe na chakula kwa ujumla wapo baadhi ya watu wanaibuka na bidhaa mbalimbali za lishe, ambazo zimekuwa na matokeo hasi kwa watumiaji na nyingine kuwaletea shida kiafya watumiaji hao." Ameeleza.

“lazima tutoe ushauri ni chakula gani watu waweze kutumia, maana sasa hivi lishe imevamiwa kila moja ameibuka na lake, sasa kila mtu ni mtaalamu wa lishe.” Ameongeza Mhe. Nyongo.

Kwa upande wake Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema wataendelea kuimarisha eneo la lishe kutokana na kuwa ni eneo msingi kwa Taifa, pamoja na kusimamia maeneo yenye shida kwa upande wa utekelezaji wa afua mbalimbali za lishe ambayo tayari yamebainishwa na Wizara kwa kushirikiana na Taasisi ya Chakula na Lishe ambayo itachukua hatua za kuboresha zaidi.

Dkt. Mollel ameiomba kamati ya Bunge kuangalia namna ya kuweza kuipatia nguvu Taasisi hivyo, kwani bado haina misuli ya kuweza kudhibiti baadhi ya masuala yanavyoibuka kila kukicha kuhusiana na masuala ya Chakula na Lishe.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Dkt. Germana Leyna akieleza utekelezaji wa Taasisi hiyo kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI ameeleza kuwa elimu zaidi inaendelea kutolewa kwa watanzania.

"Tabia ya kula ni sehemu ngumu na changamoto kubwa katika suala la lishe watu wengi wanalima kwa ajili ya kuuza na sio kwa ajili ya matumizi ya familia na Kaya....Udumavu hutokea katika kipindi ambacho mtoto ni mdogo na akina Mama wengi hasa vijijini wanaingia katika shughuli za kiuchumi mapema na malezi ya watoto hudumaa wengi hulelewa na watoto au viporo." Amesema.

Dkt. Germana amesema, katika Utafiti ulioelekezwa kufanyika na Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambao bado haujakamilika ulioangazia mikoa inayozalisha chakula kwa wingi, mikoa iliyopunguza uzalishaji kwa kiwango kikubwa na suala la udumavu sababu kubwa waliyogundua inayopelekea udumavu ni pamoja na malezi kwa wazazi kutokuwa na muda wa kuhakikisha watoto wanapata lishe bora pamoja na maambukizi ya maradhi ya kuambukiza ikiwemo UKIMWI katika mikoa ya Njombe, Iringa na Mbeya ambayo maradhi hayo husababisha changamoto katika Lishe.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Bw. Obbey Assery, ameiomba kamati ya kudumu ya Afya na Masuala ya UKIMWI kuwa sehemu ya kuisemea lishe katika ngazi ya chini kupitia Halmashauri hadi ngazi ya Taifa (Bungeni,) na kuiomba kupigia kelele suala la kutenga shilingi 1000 za afua za lishe kwa ajili ya watoto chini ya umri wa miaka 5 ili zitumike katika utekelezaji wa afua mbalimbali za lishe.

Kuhusiana na mabadiliko ya Sera kama ilivyoelekezwa na Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema; kwa kushirikiana na Wizara husika wanaangalia mabadiliko hayo ili Sera ziende sambamba na hali ya sasa na hiyo ni pamoja na kutengeneza na kuthibitisha chakula lishe na kutoa mafunzo kwa wadau na ithibati ya kutengeneza Chakula Lishe kwa ajili ya kupeleka sokoni.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI Mhe. Stanslaus Nyongo (Mb) akizungumza wakati wa ziara iliyofanywa na kamati hiyo katika Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania na kueleza kuwa afua za lishe zinahitaji uwekezaji wa kutosha na kupewa kipaumbele. Leo jijini Dar es Salaam Tanzania.


Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Bw. Obbey Assery akizungumza wakati ziara hiyo na kutoa rai kwa wabunge kulisemea suala la lishe katika ngazi ya Taifa (Bungeni,) na katika ngazi ya Halmashauri kupitia mabaraza ya madiwani. Leo jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Dkt. Germana Leyna akitoa mada kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI iliyotembelea Taasisi hiyo kwa lengo la kujifunza na kuona shughuli zinazofanywa na taasisi hiyo. Leo jijini Dar es Salaam.


Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI wakipata maelezo kutoka wataalam wa maabara ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania ikiwa ni ziara ya kujifunza na kuona shughuli mbalimbali zinazofanywa na Taasisi hiyo. Leo jijini Dar es Salaam.

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI wakiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania mara baada ya kuhitimisha ziara hiyo, Leo jijini Dar es Salaam.



Matukio mbalimbali wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI katika Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania. Leo jijini Dar es Salaam.

Kusini kumenoga: Rais Samia kufanya ziara Mtwara, Lindi

$
0
0

RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara kwenye mikoa ya Mtwara na Lindi kuanzia tarehe 15 - 20 Septemba, 2023. Katika ziara hiyo ya mikoa ya kusini, Rais Samia atazindua na kukagua miradi mbalimbali pamoja na kusikiliza kero na matatizo ya wananchi.

Rais Samia pia atazindua Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini, kuzindua Chujio la Maji Mangamba, atakagua uwanja wa ndege na pia kuzindua barabara mkoani Mtwara.

KAMPUNI YA NYUMBAFASTA IMEKUJA NA SULUHISHO LA KIDIGITALI KWA WAPANGAJI NA WENYE NYUMBA

$
0
0

 
Kampuni ya Nyumbafasta inaleta suluhisho la kidijitali kwa wapangaji na wenye nyumba nchini Tanzania. Suluhisho hili litawawezesha wapangaji kupata nyumba za kupanga bila malipo ya kodi ya mwezi mmoja na kuwasiliana moja kwa moja na wenye nyumba kwa gharama ndogo, kuanzia shilingi elfu moja tu.

Zaidi ya hayo, Nyumbafasta inawasaidia wanunuzi na wauzaji wa nyumba na viwanja kwa kutoa huduma ya uhakiki wa mali kupitia mfumo maalum. Mfumo huu umetengenezwa na vijana wa Kitanzania na unapatikana mtandaoni kote nchini kupitia tovuti yetu - www.nyumbafasta.co.tz. 

 Kupitia Nyumbafasta, wapangaji wanaweza kupata nyumba bora kwa bei nafuu na kusaidiwa kuokoa muda wa kutafuta nyumba, huku ikipunguza migogoro isiyo ya lazima wakati wa kununua nyumba au viwanja.

Tunawaalika wamiliki wa nyumba za kupangisha nchini kote kujisajili kwenye tovuti yetu bila malipo yoyote kupitia www.nyumbafasta.co.tz au kutumia huduma bora na yenye uweledi isiyo na gharama kupitia kitengo chetu cha huduma kwa wateja.

Tunawakaribisha kutumia Nyumbafasta kwa huduma ya upangaji bila malipo ya kodi ya mwezi mmoja na ununuzi wa nyumba na viwanja vilivyo hakikiwa ili kuepuka migogoro isiyo ya lazima.

Pamoja na hayo tumechukua hatua muhimu katika kuimarisha uhusiano wetu na jamii na kuendeleza huduma bora kwa wateja wetu.Tunayo furaha kumkaribisha Barbara Hassan katika jukumu hili muhimu la kuwa mwakilishi wetu mpya na balozi wa kampuni yetu. Hii yote ni

katika kuhakikisha tunabaki kuwa kinara katika sekta ya uuzaji na upangaji wa nyumba na viwanja. Tunayo furaha kubwa kutangaza uteuzi huu wa Balozi Mpya katika timu yetu,

Barbara Hassan - tukiamini katika uchapaji wake kazi. Barbara amepata sifa kubwa katika sekta ya utangazaji kutokana na uzoefu wake mkubwa na uwezo wa kushirikiana na wadau mbalimbali katika jamii. 

Tunaamini Barbara atachangia maarifa na utaalamu wake kuhakikisha tunabaki kuwa chaguo la kwanza na bora kwa wateja wetu na kuendeleza miradi yetu ya upatikanaji wa Nyumba na Viwanja kwa haraka.

 Ameonesha dhamira ya dhati katika kuendeleza sekta ya Nyumba za kupanga, Nyumba za kuuza na Viwanja kwa kutoa huduma bora kwa wateja. Tunatarajia kufanya kazi kwa karibu naye ili kuleta mafanikio makubwa kwa kampuni yetu.

 Kampuni yetu - Nyumbafasta - inajitolea kuendelea kuwa wabunifu na kutoa huduma za hali ya juu katika sekta hii. Uteuzi wa Balozi Mpya ni hatua muhimu katika kufanikisha malengo haya yanatimia.


Tunasema Makato yasio ya lazima Sio Shida Zetu

Kwa maelezo zaidi au kwa mahojiano, tafadhali wasiliana na: Robinson Marley 0652493300.








KONGAMANO LA KIUCHUMI LA BENKI YA STANBIC DAR LAIBUA MAZINGIRA YA KIUCHUMI, VIPAUMBELE VYA SERIKALI

$
0
0
Picha ya pamoja ya wafanyakazi na wadau wa Benki ya Stanbic waliohudhuria kongamano la kiuchumi lililoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Jukwaa hilo liliibua mazingira ya kiuchumi, vipaumbele vya Serikali vinavyoendesha uchumi, na fursa zilizopo kwa wawekezaji wa ndani na nje. Maafisa wa Wizara ya Fedha na Kituo cha Uwekezaji Tanzania, pia walihudhuria na kuzungumza katika kongamano hilo ambalo pia lilihudhuriwa na wateja wa benki hiyo.
Mkuu wa Masoko wa Benki ya Stanbic Tanzania, Erick Mushi akizungumza na wateja na wadau katika kongamano la kiuchumi lililoratibiwa na benki hiyo kwenye hoteli ya Hyatt Regency hivi karibuni. Jukwaa hilo liliibua mazingira ya kiuchumi, vipaumbele vya Serikali vinavyoendesha uchumi, na fursa zilizopo kwa wawekezaji wa ndani na nje. Maafisa wa Wizara ya Fedha na Kituo cha Uwekezaji Tanzania, nao walihudhuria na kuzungumza katika kongamano hilo.
Mkuu wa Kitengo cha Utafiti wa Kiuchumi wa Kanda ya Afrika cha Standard Bank Group kwa Kanda ya Afrika, Jibran Qureishi akichangia ufahamu kuhusu hali ya uchumi wa dunia na athari zake kwa Afrika hususani ukanda wa Afrika Mashariki katika kongamano la kiuchumi lililoandaliwa na Benki ya Stanbic Tanzania kwenye hoteli ya Hyatt Regency hivi karibuni. . Jukwaa hilo liliibua mazingira ya kiuchumi, vipaumbele vya Serikali vinavyoendesha uchumi, na fursa zilizopo kwa wawekezaji wa ndani na nje. Maafisa wa Wizara ya Fedha na Kituo cha Uwekezaji Tanzania nao walihudhuria na kuzungumza katika kongamano hilo.

Meneja wa uhamasishaji uwekezaji wa kituo cha uwekezaji Tanzania(Kigeni), Daudi Riganda, akizungumzia mambo yanayoendesha uchumi wa Tanzania na matarajio ya matazamio yanayowasubiri wawekezaji, wakati wa mjadala wa jukwaa la uchumi lililoandaliwa na stanbic bank Tanzania kwenye hotel ya Hyatt Regency. Jukwaa hilo liliibua mazingira ya kiuchumi, vipaumbele vya Serikali vinavyoendesha uchumi, na fursa zilizopo kwa wawekezaji wa ndani na nje. Maafisa kutoka Wizara ya Fedha pia walihudhuria na kuzungumza katika kongamano hilo ambalo pia lilihudhuriwa na wateja wa benki hiyo.
Mkuu wa Masoko ya Kimataifa wa Benki ya Stanbic Tanzania, Erick Mushi, akiongoza mjadala kuhusu uchumi unaostawi Tanzania, vipaumbele vya serikali, na fursa za uwekezaji kwa wawekezaji wa ndani na nje. Pembeni yake ni Kamishna wa Usimamizi wa Madeni katika Wizara ya Fedha, Japhet Justine. Wanajopo wengine hawapo pichani walikuwa; Mkuu wa Kitengo cha Utafiti wa Uchumi wa Kanda ya Afrika cha Standard Bank Group, Jibran Qureishi, na Meneja Uhamasishaji Uwekezaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) (Kigeni), Daudi Riganda. Majadiliano hayo yalikuwa ni sehemu ya kongamano la kiuchumi lililoandaliwa na Benki ya Stanbic Tanzania kwenye hoteli ya Hyatt Regency hivi karibuni.
Mkuu wa Kitengo cha Utafiti wa Kiuchumi wa Kanda ya Afrika wa Benki ya Standard Group, Jibran Qureishi (kulia), akizungumza wakati wa majadiliano yaliyounda sehemu ya jukwaa la uchumi lililofanyika na Benki ya Stanbic Tanzania jijini Dar Es Salaam hivi karibuni. Jukwaa hilo liliibua mazingira ya kiuchumi, vipaumbele vya Serikali vinavyoendesha uchumi, na fursa zilizopo kwa wawekezaji wa ndani na nje. Maafisa wa Wizara ya Fedha na Kituo cha Uwekezaji Tanzania, nao walihudhuria na kuzungumza katika kongamano hilo. Pia katika picha, kushoto kwenda kulia ni; Mkuu wa Masoko wa Benki ya Stanbic Tanzania, Erick Mushi, Kamishna wa Usimamizi wa Madeni wa Wizara ya Fedha, Japhet Justine na Meneja Uhamasishaji wa Uwekezaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) (Kigeni), Daudi Riganda.
Kamishna wa Usimamizi wa Madeni wa Wizara ya Fedha, Japhet Justine, akizungumza katika kikao cha majadiliano kilichokuwa sehemu ya jukwaa la uchumi lililoandaliwa na Benki ya Stanbic Tanzania jijini Dar Es Salaam hivi karibuni. Jukwaa hilo liliibua mazingira ya kiuchumi, vipaumbele vya Serikali vinavyoendesha uchumi, na fursa zilizopo kwa wawekezaji wa ndani na nje. Maafisa wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania, pia walihudhuria na kuzungumza katika kongamano hilo ambalo pia lilihudhuriwa na wateja wa benki hiyo.
Wadau wakisikiliza taarifa za kiuchumi katika kongamano la kiuchumi lililoandaliwa na Benki ya Stanbic Tanzania jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Jukwaa hilo liliibua mazingira ya kiuchumi, vipaumbele vya Serikali vinavyoendesha uchumi, na fursa zilizopo kwa wawekezaji wa ndani na nje. Maafisa wa Wizara ya Fedha na Kituo cha Uwekezaji Tanzania, pia walihudhuria na kuzungumza katika kongamano hilo ambalo pia lilihudhuriwa na wateja wa benki hiyo.

PROFESA NDALICHAKO AFUNGUA SEMINA KWA WASTAAFU WATARAJIWA WA PSSSF

$
0
0

 


WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Profesa Joyce Ndalichako (kulia) akifurahia jambo na Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, CPA. Hosea Kashimba, mara baada ya kuzunguzma na wastaafu watarajiwa

NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID, DAR ES SALAAM.

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Profesa Joyce Ndalichako, amefungua semina elekezi kwa Wastaafu watarajiwa wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) jijini Dar es Salaam Septemba 11, 2023.

Akizungumza na wastaafu hao kutoka mkoa wa Dar es Salaam, Profesa Ndalichako aliipongeza PSSSF kwa kuandaa semina hiyo iliyobeba kauli mbiu isemayo “Wekeza Mafao yako Sehemu Salama kwa Uhakika wa Ukwasi”.

Alisema lengo la semina hiyo ni kuwajengea wastaafu wake watarajiwa uelewa na ufahamu juu ya umuhimu wa kufanya maamuzi sahihi ya kukuza vipato vyao baada ya kustaafu ili kuleta tija na uendelevu wa kipato.

“Usia wangu kwenu ni kuyatumia vyema madini ya elimu mtakayoyapata hapa kwa kushikilia mambo makuu matatu nayo ni kuwa na mtazamo chanya, kuweka mipango makini na kutimiza ndoto binafsi baada ya kustaafu.” Alisema Profesa Ndalichako.

Alisema kustaafu ni wajibu kwa kila mtumishi hivyo hakuna budi kuendeleza maisha mazuri hata baada ya kustaafu.

Alisema ni vema mtumishi akatambua kuwa safari ya kustaafu inaanza pale anapoanza ajira, hivyo ni muhimu kujiandaa kimipango na kifedha ili kufurahia maisha ya uhuru lakini umakini katika usimamizi wa fedha.

“Matumizi ya busara ya fedha baada kustaafu ni muhimu zaidi kwani kwa kiasi kipato kinapungua na nguvu za kufanya kazi zinaenda zikipungua siku hadi siku,” aliasa.

Awali Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, CPA. Hosea Kashimba alisema PSSSF inatarajia kuwa na wastaafu 11,000 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2023/2024.

Alisema Wastaafu watapatiwa mafunzo ya elimu ya uwekezaji katika masoko ya fedha, taarifa za nyaraka na utaratibu wa kufuata wakati wa kustaafu, kujiandaa kisakolojia baada ya kutoka kwenye utumishi, umuhimu wa kutunza mazingira tunayoishi kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi, na uhalifu wa kimtandao ambao unawaathiri wastaafu wengi.

“Mfuko katika kutambua na kuunga mkono juhudi za Serikali katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, una mpango wa kutoa mche mmoja wa mti kwa kila mstaafu wa PSSSF.

“Mpaka sasa tuna wanachama 739,000 na lengo hapa ni kila mmoja aweze kupanda na kuutunza mche tutakaompatia pindi atakapofikia wakati w akustaafu.”Alifafanua CPA. Kashimba.

Semina kama hii ilifanyika mwaka 2021 kwa wastaafu watarijiwa 3700 bara na visiwani na mwaka huu pia elimu itawafikia wastaafu kwenye mikoa ya Tanzania Bara na Visiwani, alisema CPA. Kashimba.



Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Profesa Joyce Ndalichako (wapili kushoto) akimpatia mche wa mti, moja wa wastaafu wakati w aufunguzi wa semina kwa wastaafu watarajiwa wa PSSSF jijini Dar es Salaam Septemba 11, 2023. Wanaoshuhudia ni Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, CPA. Hosea Kashimba (kushoto) na Meneja wa PSSSF Kanda ya Ilala, Bi. Uphoo Swai.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Profesa Joyce Ndalichako, akizungumza na wastaafu watarjiwa jijini Dar es Salaam, Septemba 11, 2023.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Profesa Joyce Ndalichako, akizungumza na wastaafu watarjiwa jijini Dar es Salaam, Septemba 11, 2023. Kulia ni CPA. Hosea Kashimba, Mkurugenzi Mkuu, PSSSF.

Sehemu ya washiriki wa semina hiyo, wakiwemo wastaafu na wawezshaji (watoa mada).

Semina ikiendelea


CPA. Hosea Kashimba, Mkurugenzi Mkuu, PSSSF, akizungumza na wastaafu watarajiwa



CPA. Hosea Kashimba, Mkurugenzi Mkuu, PSSSF, akizungumza na wastaafu watarajiwa



Baadhi ya washiriki wa semina wakifuatilia hotuba ya mhgeni rasmi.


Baadhi ya washiriki wa semina wakifuatilia hotuba ya mhgeni rasmi.

Baadhi ya washiriki wa semina wakifuatilia hotuba ya mhgeni rasmi.

Baadhi ya washiriki wa semina wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi.

Baadhi ya watendaji wa Mfuko.

Meneja Uhusiano na Elimu kwa Wanachama, Bw. James Mlowe, akiongoza semina hiyo.


Baadhi ya watendaji wa Mfuko.


Baadhi ya watendaji wa Mfuko.

Mkurugenzi wa Uendeshaji PSSSF, Bw. Mbaruku Magawa, akizungumza mwanzoni mwa semina hiyo.

Baadhi ya washiriki wa semina wakifuatilia hotuba ya mhgeni rasmi

Baadhi ya washiriki wa semina wakifuatilia hotuba ya mhgeni rasmi

Mmoja wa wastaafu akizunhguzma


PSSSF YATOA MICHE YA MITI KWA WANACHAMA WAKE KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

$
0
0
NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID, DAR ES SALAAM

Katika kutambua na kuunga mkono juhudi za Serikali katika kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi, Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umetoa miche kwa wastaafu watarajiwa wa Mfuko huo waliokuwa wakihudhuria semina elekezi ya kujiandaa na maisha ya kusataafu utumishi wa Umma.

Semina hiyo ambayo ilifunguliwa Septemba 11, 2023 na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Profesa Joyce Ndalichako, imefungwa Septemba 12, 2023 na Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, CPA. Hosea Kashimba.

CPA. Kashimba alisema, PSSSF inatarajia kuwa na wastaafu 11,000 katika mwaka wa fedha wa 2023/24 na zoezi la ugawaji miche pia linafanyika kwenye mikoa mingine ambako nako wastaafu watarajiwa wa Mfuko huo wanapatiwa semina kama hiyo.

“Mfuko umepanga pia kugawa miche hiyo kwa wanachama wake 739,000 kote nchini.” Alisema

Akihutubia katika kongamano la Mabadiliko ya Tabia Nchi lililofanyika jijini Nairobi Nchini Kenya, Septemba 6, 2023, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, alisema kuna hatari kubwa, na hatua inapaswa kuchukuliwa sio kesho bali leo na haswa sasa ili kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi.

Tayari Jumuiya ya Kimataifa imemtambua Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambapo Septemba 12, 2023 Bodi ya Ushauri ya Kituo cha Dunia cha Uhimilivu wa Mabadiliko ya Tabianchi (Advisory Board of the Global Centre on Adaptation – GCA), imemteua kuwa Mjumbe wa bodi hiyo.

Akieleza zaidi kuhusu umuhimu wa kupanda miti, Mkurugenzi Mkuu huyo wa PSSSF alisema “Upandaji miti unasaidia sana katika kukabiliana na janga hili la mabadiliko ya Tabianchi ambayo ni hatari si kwa mazingira peke yake bali hata viumbe vilivyopo katika mazingira haya, tukiwemo na sisi binadamu.” Alisema CPA. Kashimba

“Pia kwa kushirikiana na watumishi wa Mfuko tutaendesha kampeni ya kuhakikisha kila mtumishi anapanda na kuitunza miche kumi ya miti, kampeni hii itaendelea hadi Disemba 2023 ambako tunatarajia tutakuwa tumepanda miche takribani million 7.

“Hivyo ili kuanza kampeni hii mahsusi, katika semina hii kila mwanasemina na wafanyakazi watapatiwa angalau mche mmoja wa mti kwa ajili ya kupanda na kutunza”

Aidha CPA. Kashimba aliwaasa wastaafu hao watarajiwa kuzingatia yale waliyojifunza lakini kubwa kujiepusha na matapeli ili wastaafu hao watarajiwa waendelee kuishi maisha mazuri.

“Genge hili lina nguvu sana tusilipuuze, Mafao ndio turufu yetu ya mwisho tuyatunze.” Aliasa.

Akizungumzia uamuzi huo wa PSSSF, Msaatu mtarajiwa Bw. Laurian Mganga, alimpongeza Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF CPA. Hosea Kashimba na uongozi mzima wa Mfuko huo kwa uamuzi wa kuwapatia elimu ya kujiandaa kabla ya kustaafu, lakini pia kuwapatia kila mstaafu mche mmoja wa kupanda ili kutunza mazingira.
Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, CPA. Hosea Kashimba, akiwa amebeba mche wakati wa zoezi la ugawaji miche kwa wastaafu watarajiwa pamoja na watumishi wa Mfuko huo.
Watumishi wa PSSSF wakiwa wamebeba miche ya miti tayari kwa zoezi la kuigawa kwa washiriki
Mtumishi wa PSSSF, Bi. Nelu Mwalugaja (kushoto), akigawa miche kwa wastaafu watarajiwa

Baadhi ya wastaafu watarajiwa, wakiangalia miche waliyopewa.
CPA. Kashimba, akizungumza na wastaafu watarajiwa wakati wa kufunga semina hiyo Septemba 12, 2023.
CPA. Kashimba, akiagana na mmoja wa wastaafu watarajiwa mwishoni mwa semina hiyo.
CPA. Kashimba akiongozana na Mkurugenzi wa Uendeshaji PSSSF, Bw. Mbaruku Magawa baada ya kufunga semina hiyo.

Mkurugenzi wa Uendeshaji PSSSF, Bw. Mbaruku Magawa, akizungumza na wastaafu watarajiwa wa mkoa wa Dar es Salaam, Septemba 12, 2023.

Meneja Uhusiano na Elimu kwa Wanachama, PSSSF, Bw. James Mlowe, akizungumza na wastaafu watarajiwa wa mkoa wa Dar es Salaam, Septemba 12, 2023.

Mkurugenzi wa Fedha PSSSF, Bi. Beatrice Musa-Lupi (kushoto), akiteta jambo na Meneja Uhusiano na Elimu kwa Wanachama, Bw. James Mlowe.

Mkurugenzi wa Uendeshaji PSSSF, Bw. Mbaruku Magawa, akizungumza na wastaafu watarajiwa wa mkoa wa Dar es Salaam, Septemba 12, 2023.














Meneja wa PSSSF, Kanda ya Ilala, Bi. Uphoo Swai











BLACKJACK 1 USHINDI RAHISI NA KASINO MTANDAONI!!

$
0
0

 

PTR Blackjack 1 ni mchezo mpya wa karata kutoka kampuni ya Playtech. Mchezo huu wa kasino ya mtandaoni ya Meridianbet unachezwa na pakiti nane za kadi na unafuata sheria za Ulaya za kawaida. Blackjack ni mchezo wa kadi wa kuvutia na unaopendwa sana na wachezaji wa aina zote, mara nyingine unaweza kuwaona watu wakicheza blackjack katika sinema.

Mchezo wa kadi wa PTR Blackjack 1 unachezwa kutoka studio ya moja kwa moja na kuna meza nyingi za kuchagua, kila moja ikiwa na kiwango cha chini cha dau tofauti, na kila meza inaweza kuchukua wachezaji saba. Chagua meza yako na anza kucheza.

Hebu tuangalie jinsi ya kubashiri na kushinda katika mchezo wa kasino ya mtandaoni ya Meridianbet wa PTR Blackjack 1. Ikiwa raundi ya mchezo tayari imeanza wakati unajiunga na meza, subiri raundi inayofuata kuweka dau zako.

Kuweka dau, chagua chipi na weka kwenye eneo la ubashiri. Unaweza kuweka mara nyingi zaidi kwenye maeneo tofauti ya ubashiri kwa wakati mmoja.

Kipima muda kwenye dirisha la mchezo kinakuonyesha muda uliobaki wa kuweka dau zako. Baada ya kengele, ubashiri hautaruhusiwa tena, na raundi ya mchezo itaanza.

Mafanikio huweza kulipwa kwa ubashiri unaoshinda mwishoni mwa kila raundi ya mchezo. Ili kucheza raundi nyingine ya mchezo wa PTR Blackjack 1, weka tena dau zako au tumia kitufe cha "Rebet."

Kuanza, chagua moja kati ya thamani sita za chips kwenye kibodi cha chini na bonyeza eneo wazi la ubashiri kuweka dau.

Mchezo wa kadi wa PTR Blackjack 1 unatoka kwa mtoa huduma wa Playtech!

Kawaida, ubashiri kwenye blackjack hufanywa kwa kubofya duara mbele ya eneo la ubashiri. Kwanza, unapaswa kuweka ubashiri wako wa msingi, kisha unaweza kuweka ubashiri wa hiari wa upande.

Baada ya ubashiri wa msingi kuwekwa na kuthibitishwa, ikiwa chaguo la ubashiri wa mara nyingi linasaidiwa na raundi bado iko wazi, ubashiri wa ziada unakubaliwa.

Baada ya raundi ya ubashiri, tumia Hit, Stand, Double, Split, na Insurance ikiwa kadi ya kwanza ya muuzaji ni Ace. Ikiwa hutafanya hoja, utasimama moja kwa moja.

Ikiwa unachagua kudouble, kiasi kinacholingana na ubashiri wako wa msingi kinachukuliwa kutoka kwa akaunti yako na ubashiri wako wa msingi unadoubled.

Lengo la mchezo wa blackjack ni kufikia jumla ya kadi kubwa kuliko muuzaji bila kuzidi 21. Mkono bora ni blackjack, ambapo jumla ya thamani ya kadi mbili zilizogawanywa ni 21. Mchezo unachezwa na pakiti nane za kadi, na muuzaji daima anasimama kwa 17.

Hapa kuna muhtasari mfupi wa sheria za mchezo wa kasino ya mtandaoni. Mchezo unachezwa na muuzaji ambapo anaruhusu hadi wachezaji 7 kwenye meza ya blackjack. Unachezwa na pakiti 8 za kadi za kawaida za 52. Thamani za kadi kwenye blackjack ni kama ifuatavyo:

Kadi za 2 hadi 10 zina thamani ya alama zilizoonyeshwa kwao, na kadi za picha kama vile Jack, Queen, na King zina thamani ya 10. Aces wanaweza kuwa na thamani ya 1 au 11, kulingana na ni ipi inayofaa mkono wako.

Baada ya muda wa kuweka ubashiri kumalizika, muuzaji atagawa kadi moja kwa kila mchezaji kwa uso uliopo.

Kugawanywa kuanza na mchezaji wa kwanza kushoto mwa muuzaji, kisha inaendelea kwa mzunguko wa saa na kumalizika kwa muuzaji.

Kisha muuzaji atagawa kadi nyingine kwa kila mchezaji na kuweka kadi ya pili ya muuzaji chini.

Ikiwa thamani ya mkono wako wa awali wa kadi mbili ni sahihi 21, umeshinda blackjack. Ikiwa muuzaji ana Ace kama kadi ya kwanza iliyofunikwa, utapewa nafasi ya kununua bima kujilinda dhidi ya hatari ya muuzaji kupata blackjack.

Wachezaji wanaweza kuchagua kuchukua kadi ya ziada, inayojulikana kama Hit, au wanaweza kubaki na kadi zao za awali, inayojulikana kama Stand.

Mchezo wa PTR Blackjack 1 una chaguo la Bet Behind, maana unaweza kujiunga na hatua wakati wowote, wakati interface ya mtumiaji wa juu na muuzaji mwenye fadhili atakuongoza kupitia kila sehemu ya mchezo huu kwa urahisi wa kushangaza.

PTR Blackjack 1 ni mchezo wa kasino ya mtandaoni wa kadi uliopo katika studio ya Playtech, ambapo wameboresha kila sehemu ya mchezo ili kuufanya uwe wa kusisimua zaidi, na kipengele cha Bet Behind.

Cheza PTR Blackjack 1 kwenye kasino ya mtandaoni ya Meridianbet na furahia mchezo huu wa karata.

NB: Kasino Mtandaoni ya Meridianbet inakuja na bonasi Baab Kubwa, kupitia mchezo wa Aviator unakupa beti za bure 200 kila siku zikitoka bila mpangilio. Kusanya Beti za Bure.


NGUVU ZA MERLIN ZINAKUPA USHINDI LEO MERIDIANBET KASINO!!

$
0
0

 

Merlin Megaways ni mchezo wa kasino ya mtandaoni kutoka Meridianbet unaokujia na fursa ya kukutana na mchawi. Wakati huu utakuwa na nafasi ya kutazama kitabu chenye uchawi ambacho ni njia yako ya haraka ya kushinda. Ni wakati wa sherehe ya ushindi.

“Power of Merlin Megaways” ni sloti inayopatikana kasino ya mtandaoni ya Meridianbet na inapatikana kwa mtoa huduma Pragmatic Play. Utapata kufurahia mianga inayokupa faida ya kipekee, nembo za porini, kolumu zinazojitokeza, na mizunguko ya bure ambayo huja faida maradufu.

Taarifa za Msingi
“Power of Merlin Megaways” ni sloti ya video yenye mistari sita. Mpangilio wa alama wa safu unabadilika kutoka mzunguko mmoja hadi mwingine, na idadi kubwa ya muunganiko wa ushindi ni 117,649.

Ili kupata ushindi wowote, ni lazima upatanishe alama tatu au zaidi zinazofanana katika mfuatano wa ushindi. Isipokuwa kwa sheria hii ni mchawi analipa hata kukiwa na nembo mbili katika mfuatano wa ushindi.

Mfuatano mmoja wa ushindi unalipwa, na mara zote wenye thamani kubwa. Jumla ya ushindi inawezekana, ikiwa unaziunganisha katika muunganiko wa ushindi kadhaa kwa wakati huo huo.

Kando ya kitufe cha “Spin,” kuna sehemu ya plus na minus ambapo unaweza kuweka thamani ya dau kwa kila spin.

Pia kuna kipengele cha “Autoplay” ambacho unaweza kukitumia wakati wowote. Kupitia chaguo hili, unaweza kuweka hadi spins 1,000. Kupitia hii, unaweza pia kuweka “Quick Spin” au “Turbo Spin Mode.”

Unaweza kurekebisha athari za sauti katika kona ya chini kushoto chini ya kolamu.

Alama za “Power of Merlin Megaways” za yanayopatikana

Linapokuja suala la alama za mchezo huu, malipo ya chini zaidi ni alama za kadi za kawaida: 9, 10, J, Q, K, na A. Ya thamani zaidi kati yao ni alama A.

Mtungi wa mtihani na kinywaji ndio alama inayofuata kwa thamani ya malipo, na alama sita za aina hii katika mfuatano wa ushindi inalipa mara mbili ya dau lako.

Jiwe la thamani litakuletea malipo makubwa zaidi. Ikiwa utapata alama sita za aina hii katika mchanganyiko wa kushinda, utashinda mara 2.5 zaidi ya dau.

Kisha anakuja bundi, ambaye analetea malipo ya ajabu. Ikiwa unachanganya alama sita za aina hii katika mchanganyiko wa kushinda, utashinda mara tano ya dau.

Alama ya kimsingi zaidi ya mchezo ni mchawi mwenyewe. Ikiwa unachanganya alama sita za aina hii katika muunganiko wa ushindi, utashinda mara 20 ya dau lako.

Joka linawakilishwa na mpira wenye nembo ya “Wild.” Inachukua nafasi ya alama zote, isipokuwa alama za scatter, na kuwasaidia kuunda mchanganyiko wa ushindi.

Inaonekana kwenye kolamu zote isipokuwa ya kwanza.

Alama nyingine maalum, iliyoonyeshwa na radi, inaonekana kwenye safu ya ziada. Inapoonekana, alama moja ya kubahatisha itachaguliwa na alama zote za aina hiyo zinazoonekana kwenye nguzo ya pili, ya tatu, ya nne, na ya tano zitabadilishwa kuwa porini.

Michezo ya ziada

Mchezo huu una nguzo zinazojitokeza. Unapofikia ushindi, alama zinazoshiriki katika ushindi hufifia kutoka kwenye nguzo, na mpya huonekana mahali pao.

Kusambaza inawakilishwa na kitabu. Alama nne au zaidi za kitabu hizi kwenye nguzo huwapa wachezaji raundi za bure kulingana na sheria zifuatazo:

scatter nne – mizunguko ya bure 10
scatter tano – mizunguko ya bure 14
scatter sita – mizunguko ya bure 18
scatter saba- mizunguko ya bure 22
scatter nane- mizunguko ya bure 26
scatter tisa – mizunguko ya bure 30

Kiwango cha awali cha kuzidisha ni x1, na kila kwenye kolamu zinapojitokeza, uzidishaji huongezeka kwa moja. Tatu au zaidi ya scatter kwenye kolamu wakati wa mizunguko ya bure huleta mizunguko mingine ya bure minne.

Unaweza pia kuanzisha raundi za bure kupitia chaguo la ununuzi wa ziada. Malipo ya juu yanaweza kuwa mara 40,000 ya dau.

Picha na Sauti
Nguzo za “Power of Merlin Megaways” zimepangwa katika msitu wa kichawi. Utapata kuona miti na idadi kubwa ya sanamu. Muziki wa kichawi upo wakati wote wakati unapata furaha.

Grafiki za yanayopatikana ni nzuri na alama zimeonyeshwa kwa undani.

Shinda ZAIDI kwa kucheza “Power of Merlin Megaways“!

NB: Kasino Mtandaoni ya Meridianbet inakuja na bonasi Baab Kubwa, kupitia mchezo wa Aviator unakupa beti za bure 200 kila siku zikitoka bila mpangilio. Kusanya Beti za Bure.

WANAHARAKATI WAPEWA UJUZI KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI

$
0
0
WANAHARAKATI wamepewa ujuzi wa kukabiliana na changamoto ya afya ya akili wakiwa katika mazingira ya kazi au nyumbani ili kuhakikisha kupungua kwa matatizo hayo kwenye jamii ambapo inaonekana tatizo hilo limekithiri.

Akizungumza leo Septemba 13,2023 Jijini Dar es Salaam, Mwezeshaji wa Semina hiyo Bi.Sylivia Sosthenes amesema kupitia semina hiyo itasaidia kuangalia wanaharakati na Afya zao za akili na yale wanayo kumbana nayo katika harakati, kuanzia familia zao,wanakutana na kesi ngapi na lipi suluhisho la Afya zao za Akili.

"Matokeo ya Semina hii ni kuepuka matukio ambayo ni ya kikatili yasipelekee Changamoto ya Afya ya akili ".

Aidha Bi Sylivia Amesema sababu zinazo pelekea matatizo ya Afya ya akili,ni pamoja na ukatili wa kijinsia, Changamoto za kiuchumi,maswala ya malezi, mahusiano kazini au nyumbani.

Pamoja na hayo amesema dalili za Changamoto ya Afya ya akili Ni pamoja na mtu kujitenga,mtu kutokujijali au kuleta viashiria vya kujitoa uhai au kumtoa mtu uhai.

"Mtu mwenye tatizo la Afya ya akili kwa mtu ambaye si mtaalamu anatakiwa amuoneshe sehemu ya kwenda au kumpatia ushauri wa awali,na kwa mtu ambaye Ni mtaalamu anatukiwa kumshauri na kumfanyia rufaa kwa wataalamu wengine,maana Changamoto hii ina athiri wakati mwingine Hadi mwili." amesema





EAC INTEGRATION JOURNEY: CHALLENGES, PROGRESS, AND FUTURE OUTLOOK.

$
0
0

 


1. Introduction.

In unity, we discover our strength and our shared destiny. These profound sentiments encapsulate the essence of the East African Community (EAC), a regional consortium that has long symbolized the power of cooperation and collective vision. Currently composed of seven Partner States, Burundi, Kenya, Rwanda, South Sudan, Tanzania, the Democratic Republic of the Congo, and Uganda, the EAC is on the brink of welcoming an eighth member, Somalia, as negotiations concluded successfully in Nairobi, Kenya on August 31, 2023.

 Nestled in the vibrant heart of Arusha, Tanzania, the EAC's headquarters serve as the epicenter of an ambitious project, uniting over 283.7 million citizens, with a significant urban population exceeding 30%. Encompassing a vast land area spanning 4.8 million square kilometers and boasting a combined Gross Domestic Product of US$ 305.3 billion, the EAC offers a rich and diverse panorama of cultures, economies, and opportunities. 

As this narrative unfolds, it paints a portrait of a region marked by resilience in the face of challenges, triumphant celebrations of milestones, and an unwavering commitment to progress, a journey guided by solidarity, diversity, and the relentless pursuit of a brighter future. Amidst these explorations, it's crucial to emphasize that this article is for educational purposes only, aiming to shed light on the dynamic landscape of the EAC and its multifaceted journey toward integration and prosperity.

2. The Evolution of the East African Community - From Historical Cooperation to a Modern Treaty.

Throughout their shared history, Kenya, Tanzania, and Uganda have fostered collaborative efforts through various regional integration initiatives. Notably, the Customs Union was established between Kenya and Uganda in 1917, with later inclusion of Tanganyika in 1927. These endeavors progressed through the phases of the East African High Commission (1948-1961), the East African Common Services Organization (1961-1967), and the initial East African Community (1967-1977). Following the dissolution of the original community in 1977, member states reached an agreement for the division of assets and liabilities, signed in 1984, which also included a commitment to explore future cooperation. 

Subsequent meetings culminated in the establishment of the Permanent Tripartite Commission for East African Cooperation in 1993, commencing full operations in 1996. Recognizing the imperative of enhancing regional cooperation, the East African Heads of State directed the commission to evolve into a treaty, leading to the signing of the Treaty for the Establishment of the East African Community in 1999, which came into force in 2000, officially shaping the East African Community as we recognize it today. Admission for new member states into the Community is guided by the criteria articulated in Article 3 of the EAC Treaty.

3. EAC's Core Components - A Blueprint for Cooperation.

The East African Community (EAC) operates through vital organs, each playing a distinct role in advancing regional integration. The Summit, consisting of the Heads of Government from the Partner States, offers strategic guidance for achieving the EAC's objectives. Below it, the Council of Ministers serves as the central decision-making and governing body, and its regulations, directives, and decisions are binding on Partner States and all other EAC organs and institutions, except the Summit, the Court, and the Assembly.

The Coordinating Committee operates under the Council's jurisdiction and is responsible for regional cooperation coordination and recommending Sectoral Committees' establishment and functions. These Sectoral Committees conceptualize and oversee program implementation, following the Council's recommendations. Meanwhile, the East African Court of Justice, the principal judicial organ temporarily seated in Arusha, Tanzania, ensures adherence to the law in interpreting and applying the EAC Treaty with ten judges appointed by the Summit, including both an Appellate and a First Instance division.

The East African Legislative Assembly (EALA) plays a pivotal role in promoting the objectives of the EAC by fulfilling legislative, representative, and oversight responsibilities. Comprising 63 elected members (nine from each Partner State) and nine ex-officio members, including the Minister or Cabinet Secretary responsible for EAC Affairs from each Partner State, the Secretary-General, and the Counsel to the Community, EALA establishes Standing Committees, such as the Accounts Committee, the Committee on Legal, Rules, and Privileges, the Committee on Agriculture, Tourism, and Natural Resources, the Committee on Regional Affairs and Conflict Resolution, the Committee on Communication, Trade, and Investment, and the Committee on General Purpose.

Lastly, the Secretariat, the executive organ, ensures the proper implementation of regulations and directives adopted by the Council. The Secretariat, consisting of the Secretary-General, two Deputy Secretaries-General, the Counsel to the Community, and a team of EAC staff, is responsible for executing the daily tasks and functions assigned by the Council.

 The Secretary-General, appointed by the Summit for a fixed five-year, non-renewable term, serves as the principal executive and accounting officer of the Community and the head of the Secretariat and the Secretary of the Summit. Deputy Secretaries-General, appointed by the Summit on recommendations of the Council on a rotational basis, assist the Secretary-General and each serve a renewable three-year term. The Counsel to the Community serves as the principal legal advisor to the Community, rounding out the key components of the EAC's organizational structure, each contributing to regional cooperation and integration.

4. Milestones in East African Community Regional Integration.

The East African Community (EAC) stands out as one of the most rapidly expanding regional economic blocs on the global stage, driven by a shared vision of enhancing cooperation among its Partner States in various vital domains, encompassing politics, economics, and social spheres, all aimed at achieving mutual prosperity. This ongoing journey of regional integration has witnessed remarkable milestones, including the establishment of the East African Customs Union in 2005, the inauguration of the Common Market in 2010, and the continuous implementation of the East African Monetary Union Protocol, signed in 2013. 

Moreover, the East African leadership, hand in hand with its citizens, demonstrates unwavering dedication to hastening the progress towards the realization of an East African Federation. This commitment is underscored by the adoption, in May 2017, of the Political Confederation as a transitional model towards the ultimate goal of forging a robust and sustainable East African economic and political alliance.

4.1. EAC Customs Union - Fostering Regional Integration and Development.

The objectives of the EAC Customs Union extend beyond mere trade, aiming to establish a single customs territory that fosters regional integration and economic development within the East African Community (EAC). This initiative focuses on dismantling internal tariffs and non-tariff barriers among Partner States, creating a vast single market and investment area. Additionally, harmonizing policies related to external tariffs and trade with other nations contributes to a cohesive customs union. 

The ultimate goal is to harness economies of scale for Partner States, thereby stimulating economic growth. Unlike the developed world, EAC integration isn't solely about trade; it serves as a catalyst for accelerated economic development. To achieve these objectives, the Customs Union is complemented by infrastructure development, linking production hubs to markets, and investing in human resource development across the region.

The EAC Customs Union brings forth a multitude of advantages. It establishes an equitable platform for regional producers by enforcing uniform competition policies, customs procedures, and external tariffs on goods from non-member countries, thereby promoting economic development and poverty alleviation. Furthermore, the Customs Union attracts cross-border investments, capitalizing on the expanded market and streamlined customs processes.

 It fosters a stable and predictable economic environment through the management of a common external tariff (CET) and consistent trade policies at the regional level. 

This offers businesses operating across borders in the region a competitive advantage, as they can navigate without the complexities of varying tariff rates and customs procedures. Additionally, the commitment to a unified trade policy in the global arena is essential in a world where countries increasingly engage in economic partnerships through regional blocs. Adjustments to national external tariffs under the CET have already led to substantial welfare gains for consumers, particularly as tariffs on finished goods continue to decrease. These measures, coupled with cooperative dispute resolution mechanisms and export promotion initiatives, drive the EAC Customs Union toward its overarching objectives of regional integration and socioeconomic progress.

The EAC Customs Union Agreement, marked by the introduction of a Common External Tariff (CET) and Rules of Origin (RoO) criteria, has significantly improved trade and economic growth within the region. The CET's uniform tariff structure has boosted intra-EAC trade and attracted foreign investors seeking stability. Additionally, the RoO criteria, including Certificates of Origin, have incentivised trade among member states. Efforts to eliminate Non-Tariff Barriers (NTBs) have reduced trade obstacles, enhancing efficiency and benefiting businesses and consumers. These achievements align with the EAC's vision of a prosperous and integrated East African community.

In his annual State of the EAC Address, East African Community (EAC) Secretary General Hon. (Dr.) Peter Mathuki highlighted the persistent challenges of Non-Tariff Barriers (NTBs) and national protectionism hindering intra-EAC trade. As of June 2023, the EAC had resolved 26 out of 33 reported NTBs, with seven remaining at various stages of resolution. Dr. Mathuki emphasized the EAC's commitment to eliminating NTBs, leading to the cumulative removal of 184 NTBs, enabling freer movement of goods. He noted that EAC total trade grew by 13.4% to US$74.1 billion in 2022, with intra-EAC trade increasing by 11.2%.

 In 2022, the proportion of intra-EAC trade relative to the total EAC trade amounted to 15%, displaying a favorable trend expected to continue in 2023. Collaboration with partner states, effective NTB resolution, trade facilitation efforts, and the alignment of East African standards have been pivotal elements propelling this growth. Additionally, the implementation of the Single Customs Territory reduced turnaround times, and operationalized One-Stop Border Posts with non-EAC countries led to an 80% reduction in cross-border clearance time.

4.2. The EAC Common Market Integration.

The East African Community (EAC) Common Market, established in 2010, marks a significant milestone in the region's integration journey. This initiative is part of a broader effort aimed at fostering economic, social, and political cooperation among the EAC Partner States. The primary objective is to achieve balanced growth and development throughout the region. The Common Market, a crucial achievement within this integration process, embodies several advantages, including the reduction of transaction costs, the creation of larger markets, stimulation of investment and industrialization, and fostering social development through the promotion of peace and political stability.

The East African Community's (EAC) Common Market is founded on five core principles: the unrestricted movement of goods, individuals, labor, services, and capital, alongside rights of establishment and residence, as outlined in the Protocol on the Establishment of the East African Community Common Market (CMP) signed in 2010.

 Despite a delayed full implementation by December 2015, progress is evident. Operational principles of non-discrimination, equal treatment, transparency, and information sharing among Partner States ensure fair competition and facilitate the flow of goods, services, and people, fostering regional integration and economic growth. The CMP covers various sectors, including business, communication, education, finance, tourism, and transport services, with 136 sub-sectors subject to differing commitment levels. Services from other Partner States are to be treated equitably, promoting regional consistency, while regulatory measures aligned with national policies should not unduly hinder trade.

Concurrently, the CMP guarantees the free movement of persons, allowing citizens of Partner States visa-free entry, freedom of movement within host states, the right to stay and work, and the freedom to exit without restrictions. However, these rights are not absolute and may be limited by host Partner States on grounds of public policy, security, or health, with an obligation to inform other Partner States of such limitations. Additionally, the CMP includes provisions for the free movement of labor, ensuring workers from other Partner States are not subject to discrimination in terms of employment, remuneration, and working conditions.

 Laborers are granted the right to seek employment, enter into contracts, stay for work, engage in collective bargaining, and access social security benefits in accordance with host state laws. Spouses and children can accompany workers and have similar rights, though public service employment may be subject to different rules unless permitted by host state laws. Nonetheless, restrictions based on public policy, security, or health may still apply to labor mobility within the EAC. Refugee mobility is governed by international agreements and conventions.

During his annual State of the EAC Address on 16th August 2023, Hon. (Dr.) Peter Mathuki, the Secretary General of the East African Community (EAC), provided significant updates regarding the Common Market Protocol. Notably, he highlighted that five EAC Partner States had initiated the issuance of EA e-Passports, a pivotal step towards promoting seamless cross-border movement of individuals in the region. Furthermore, Dr. Mathuki discussed ongoing endeavors to facilitate the unrestricted flow of services by implementing a mechanism aimed at identifying and monitoring the removal of trade-related service restrictions. 

Additionally, the adoption and implementation of the EAC Private Sector Development Strategy, geared toward fostering investment and business growth within the region, were underscored. He further highlighted the importance of prioritizing key initiatives such as the One Network Area and Open Skies policy to fully operationalize the Common Market. The forthcoming High-Level Retreat, preceding the Summit's Ordinary Meeting, will center on infrastructure development as a catalyst for advancing regional integration within the EAC.

4.3. Advancing Toward the East African Monetary Union.

The East African Monetary Union (EAMU) is a crucial component of East African Community (EAC) Regional Integration, aiming to establish a single currency within a decade as per the 2013 EAMU Protocol. This ambitious initiative seeks to harmonize monetary and fiscal policies, financial systems, accounting practices, statistical standards, and culminate in the establishment of an East African Central Bank. The recent 26th ordinary meeting of the EAC Monetary Affairs Committee showcased a resilient regional economy in 2022, achieving a robust 4.5 percent GDP growth largely driven by industry and services. 

However, it also underscored persistent risks emanating from global economic conditions, geopolitical tensions, climate change impacts, and the volatility of commodity prices. Notably, progress in EAMU implementation has been substantial, particularly regarding the establishment of key institutions, policy harmonization, regulatory frameworks, and the enhancement of cross-border payment systems. Despite revised timelines stretching the monetary union target to 2031, the Committee has reaffirmed its unwavering commitment to expediting EAMU activities, with a heightened focus on bolstering cross-border payment mechanisms and regional financial integration.

The recent developments within the EAMU initiative signify a significant leap towards financial integration within the East African Community. As the 26th ordinary meeting of the EAC Monetary Affairs Committee indicated, this multifaceted effort is geared towards fostering economic cohesion and resilience. By harmonizing monetary policies, streamlining financial systems, and enhancing cross-border financial operations, the EAMU paves the way for greater economic stability and growth across the region. While facing global challenges, the EAC continues to make substantial progress towards achieving its monetary union objectives and fortifying its position on the international economic stage.

At the EAC's State of the Union Address on August 16, 2023, Hon. (Dr.) Peter Mathuki, the Secretary General of the East African Community (EAC), provided noteworthy updates concerning the Monetary Union Protocol. 

Dr. Mathuki revealed that significant progress had been made, including the establishment of the East African Monetary Institute. In addition, he pointed out that the bills for establishing essential bodies such as the EAC Bureau of Statistics, the East African Surveillance, Compliance, and Enforcement Commission, and the East African Financial Services Commission had been approved by the EALA and were awaiting approval from the heads of state of the EAC. 

Moreover, he emphasized that during the 43rd ordinary meeting of the Council of Ministers held in Bujumbura, Burundi, from February 19th to 23rd, 2023, a revised plan for achieving the East African Monetary Union was adopted. While the current plan aims to implement the EAC single currency by 2031, Dr. Mathuki urged Finance Ministers to reconsider and work towards introducing a common currency within the next three (3) years.

4.4. Advancing Towards the East African Political Federation.

The EAC's pursuit of a Political Federation marks a critical phase in regional integration, building upon the achievements of the Customs Union, Common Market, and Monetary Union. Grounded in Article 5(2) of the EAC Treaty, it rests on three foundational elements: synchronized foreign and security policies, effective governance, and the culmination of prior integration steps. It's a progressive journey rather than a single event, with a renewed commitment to expediting progress highlighted by the formation of the Wako Committee following an extraordinary Summit in Nairobi in August 2004. 

A significant milestone was reached on May 20, 2017, when EAC Heads of State embraced the Political Confederation as an interim model, emphasizing their dedication to deepening integration and guiding the region towards the ultimate East African Political Federation. These collective endeavors showcase the EAC's unwavering commitment, representing the unique narrative and aspirations of East Africa.

Speaking at the EAC's yearly assembly on August 16, 2023, Hon. (Dr.) Peter Mathuki, the Secretary General of the East African Community (EAC), outlined progress in the pursuit of the Political Federation, the ultimate stage in EAC integration. Dr. Mathuki conveyed the community's commitment to accelerate consultations with the aim of crafting the initial draft constitution by June 30, 2024. 

He elaborated that this intricate process involves engaging with various stakeholders, including civil society, local leaders, opinion leaders, and the business community, to gather their perspectives on the desired Political Confederation for the EAC. Notably, consultations had already taken place in the Republics of Burundi, Uganda, and Kenya as part of this significant endeavor.

5. The EAC's Specialized Institutions.

Embedded within the East African Community (EAC) are a diverse array of institutions, each with its specialized mission contributing to the overarching goals of regional integration and development. The Lake Victoria Fisheries Organization (LVFO) plays a crucial role in fostering the sustainable use of fisheries within the region, ensuring responsible management of this vital resource. In tandem, the Lake Victoria Basin Commission (LVBC) coordinates multifaceted interventions focused on the Lake Victoria and its adjacent regions, bolstering development efforts.

Ascending, the Inter-University Council for East Africa (IUCEA) harmonizes higher education systems, maintaining academic standards across partner states. In the arena of science and technology, the East African Science and Technology Commission (EASTECO) facilitates cooperation and governance. Culturally, the East African Kiswahili Commission (EAKC) nurtures the growth of Kiswahili as a widely accepted language. 

Health research and policy translation fall under the purview of the East African Health Research Commission (EAHRC), while the East African Community Competition Authority (EACA) safeguards fair trade practices and consumer welfare. At the pinnacle, the Civil Aviation Safety and Security Oversight Agency (CASSOA) ensures aviation safety and efficiency across the EAC partner states, collectively steering the region toward a prosperous future of integration and development.

6. Challenges to East African Community Regional Integration.

The East African Community (EAC) is progressing towards the establishment of a single currency, with a high-level task force already actively working on a draft protocol for monetary union. This endeavor involves revisiting key issues, such as convergence criteria, the potential creation of an East African Monetary Institute, and the legislative framework for an East African central bank.

 The EAC has taken significant steps in harmonizing monetary and exchange rate policies through the monetary affairs committee and ministerial committee on fiscal affairs. While fiscal coordination is advancing, challenges loom, particularly related to managing fiscal policies within the context of multiple national fiscal authorities. Effective enforcement mechanisms will be vital to ensuring monetary and price stability in the face of diverse economic shocks across EAC member countries.

Furthermore, improving the systems for public financial management within the EAC is of paramount importance for achieving fiscal convergence and upholding good governance principles. Strengthening legal frameworks, reforming budget processes, and upgrading treasury systems are paramount. Ensuring alignment of financial management structures across member countries and adopting international standards for accounting reporting and auditing will be essential for effective coordination.

In the realm of customs and tax procedures, the EAC Customs Union, initiated in 2005, plays a pivotal role in monetary union preparations. However, it demands further attention to reach full functionality. Achieving a fully operational customs union requires addressing issues like common external tariffs, dispute resolution mechanisms, internal tariff elimination, rules of origin, nondiscrimination, and harmonization of customs and noncustoms procedures. 

The elimination of national exemptions from customs duties presents a considerable challenge. Developing mechanisms for revenue sharing, transparent accounting, data exchange, and intelligence sharing will be vital components. Harmonizing tax systems is imperative for the free movement of goods and capital and achieving real convergence. 

Divergences in value-added tax rates, exemptions, and thresholds, as well as varying tax definitions and rules, must be addressed. Despite these aspirations, the EAC faces challenges stemming from non-compliance with signed protocols, financial liquidity issues, and prolonged decision-making processes. Addressing these hurdles is essential for the successful realization of monetary union and regional integration.

6.1. Challenges Posed by Tariff and Non-Tariff Barriers.

In the context of trade within the East African Community (EAC), it is evident that tariffs, including customs duties and quantitative restrictions, pose significant challenges. Additionally, non-tariff barriers (NTBs) hinder the free movement of goods among EAC states. 

Discriminatory practices, such as the imposition of customs duties and export/import restrictions, inhibit the seamless circulation of goods. The elimination of customs duties and the effective management of tariff-related issues are critical to fostering a more integrated and prosperous economic environment within the region. Moreover, the existence of unresolved NTBs continues to obstruct the free flow of goods among EAC Partner States, necessitating collaborative efforts to overcome these obstacles.

6.2. Political Impediments and Elevated Transportation Expenses.

Political barriers are apparent within the EAC Member States, with government decisions and restrictions disrupting trade activities and impeding economic growth. These actions not only disrupt the flow of goods and services but also strain diplomatic relations and regional cooperation. 

Furthermore, the region faces significant challenges related to high transport costs and operational inefficiencies at major ports in East Africa. Immediate action is imperative to establish robust transportation infrastructure that can accommodate the expected growth in commercial activities, ensuring both economic stability and regional integration.

6.3. Untapped Voices - Challenges in Engaging Key Stakeholders.

A notable challenge in the East African Community (EAC) integration process is that, although efforts are being made, there remains an insufficient rate of engagement and inclusion of key stakeholders in decision-making. This situation is compounded by a pervasive lack of citizens' awareness. Effective regional integration necessitates the active participation of various actors, including civil society organizations, private sector entities, local communities, and the broader public. These stakeholders often possess valuable insights, perspectives, and expertise that can significantly contribute to the success of integration initiatives.

However, the limited and sometimes slow progress in involving them in decision-making processes can hinder the holistic development and implementation of policies and strategies. To address this challenge, the EAC must prioritize more extensive and faster inclusive decision-making by engaging a diverse range of stakeholders and fostering citizen awareness. 

By incorporating their inputs and ensuring citizens are informed and engaged, the EAC can harness a wealth of knowledge and experience to drive integration efforts forward, ultimately benefiting the entire East African community. Embracing more inclusive decision-making practices and enhancing citizens' awareness is essential for achieving comprehensive and sustainable regional integration.

6.4. The Thorn of Political Instability in EAC Integration.

Political instability poses an enduring challenge to the East African Community (EAC), impacting several member states. This unsettling phenomenon encompasses recurrent political turbulence, internal discord, and disputes that ripple across the region, undermining economic advancement and regional integration initiatives.

 At its core, political instability often leads to a breakdown in governance, a lack of social cohesion, and weakened institutions, impeding the EAC's vision of a united, prosperous, and integrated East African region. This multifaceted issue calls for dedicated efforts from member states to address the root causes, foster political resilience, and promote lasting stability in the pursuit of comprehensive regional integration.

6.5. Logistical Hurdles and Trade Service Constraints.

The East African Community (EAC) faces substantial infrastructure deficits, encompassing inadequate road networks, insufficient power supply, and subpar communication systems. These deficiencies have posed considerable limitations on intra-regional trade and economic development, hampering the region's ability to attract foreign investments.

 To support the efficient movement of goods and services across borders, the EAC must prioritize infrastructure improvements. This includes enhancing connectivity among partner states by investing in road, rail, and port infrastructure. Additionally, streamlining customs procedures and reducing bureaucratic obstacles are essential steps toward facilitating smooth cross-border trade. By addressing these infrastructure challenges, the EAC can create an environment conducive to seamless trade, ultimately reducing barriers and fostering economic growth, a crucial aspect of realizing the EAC's market protocol.

6.6. Socioeconomic Disparities.

Despite the significant strides made in the journey towards regional integration within the East African Community (EAC), persistent socioeconomic disparities stand as a formidable challenge. This challenge encompasses the twin issues of poverty and rising income inequality, with the wealth gap continuously widening. These disparities not only threaten economic stability but also bear the potential to ignite social unrest and political instability, casting shadows over the region's progress. Moreover, these disparities exacerbate the obstacles faced by marginalized populations in accessing fundamental services such as education and healthcare, ultimately impeding human capital development, a crucial factor for sustainable growth.

In addition to their independent impacts, these disparities interconnect with other challenges within the EAC, including food insecurity, limited access to finance, and unequal resource distribution, forming a complex nexus of issues that demand urgent attention. 

Addressing these disparities requires unwavering commitment from EAC member states, necessitating strategies for more equitable wealth distribution, reinforced social safety nets, and the implementation of policies that foster inclusive growth. By taking comprehensive steps to mitigate poverty and tackle inequality, the EAC can pave the way for a more equitable and prosperous community, ensuring that all its citizens benefit from the opportunities arising from regional integration.

6.7. Financial Accessibility Challenges.

Among the significant obstacles faced by the East African Community (EAC) is the lack of access to finance and investment capital. This constraint significantly hampers the growth and expansion of businesses and entrepreneurs, ultimately impeding the overall economic development of the communities within the EAC. Access to finance is a fundamental element in fostering entrepreneurship and economic growth. 

Addressing this challenge requires concerted efforts to provide greater access to affordable financing options, which can facilitate business development, create employment opportunities, and drive economic progress across the region. By promoting access to finance, the EAC can unlock the potential for increased entrepreneurship, innovation, and economic prosperity, thus advancing regional integration and sustainability.

7. Future Outlook of the East African Community (EAC).

The East African Community (EAC) stands at a crossroads in its regional integration journey, poised to navigate a future filled with both challenges and opportunities. One of the pivotal facets of the EAC's future outlook lies in the strengthening of its economic integration, characterized by ambitious endeavors such as the establishment of a common currency, bolstering intra-regional trade, and fostering industrialization. These visionary initiatives are geared towards crafting a more resilient and competitive regional economy.

Recent strides towards monetary union within the EAC signify an impressive leap towards regional integration. The impending adoption of a common currency, set for 2031, bears the potential to fortify economic stability and inspire confidence among investors. Coordinated fiscal policies are poised to mitigate the risks associated with diverse national economies and cushion the impact of external economic shocks. Lessons gleaned from past experiences, such as the European Union's management of the euro currency, underscore the importance of sound governance and fiscal discipline in ensuring the success of the EAC's monetary union.

The future of the EAC also hinges on harnessing the immense potential of its youthful and dynamic population. The demographic dividend that the region enjoys can be transformed into a potent force for economic and social progress. Strategic investments in education, skills development, and job creation are essential to unlock this potential fully. 

The empowerment of youth and the promotion of entrepreneurship constitute critical pathways towards achieving sustainable development objectives, as well as averting any specter of disintegration, akin to what some regional blocs have experienced. The EAC must draw from the lessons of history, including the United Kingdom's departure from the European Union (Brexit), to prioritize inclusive decision-making processes, address member states' concerns, and instill a profound sense of belonging to preempt any prospective fissures.

The pursuit of deeper integration and the realization of a Political Federation occupy a prominent space in the EAC's future prospects. This envisioned federation, where member states would devolve more authority to a centralized entity, aligns with the governance structures of other successful federations. It holds the promise of streamlined decision-making processes, enhanced regional security, and a unified international stance.

 However, it is imperative that this transition is executed meticulously, taking into account the sovereignty and interests of member states. Striking the delicate equilibrium between regional integration and national autonomy is paramount, as this equilibrium can prevent resistance or potential disintegration, reminiscent of the political challenges faced by certain regional unions.

As the EAC embarks on its journey towards an ever-expanding horizon, with the possibility of welcoming Somalia as its new member state, it must remain vigilant, mindful of the lessons of its past. The memory of the previous EAC's collapse serves as a poignant reminder of the importance of maintaining unity and cohesion, even as the community grows. 

The prospect of Somalia joining as the eighth member state underscores the region's commitment to fostering collaboration and economic development. In this era of expansion, the EAC stands on the cusp of shaping a brighter future for its member states and the entire African continent, provided it continues to tread carefully and uphold the delicate balance between sovereignty and integration.

8. Conclusion.

As we reflect on the East African Community's (EAC) integration journey, it becomes evident that this remarkable union has navigated a complex terrain filled with challenges, progress, and the promise of a brighter future. The EAC, a beacon of regional integration on the African continent, stands as a testament to the aspirations of its member states for unity and shared prosperity.

Our journey through the labyrinth of regional integration has seen formidable challenges. From tariff and non-tariff barriers to political hurdles, from infrastructure deficits to issues of poverty and inequality, the EAC has faced and addressed a myriad of obstacles. Each challenge, while daunting, has only strengthened our resolve to overcome, with a vision of a more economically vibrant and politically harmonious region driving us forward.

Progress, a hallmark of our integration journey, shines through in various facets. The commitment to a common currency and synchronized fiscal policies promises economic stability and resilience. Investments in education, youth empowerment, and entrepreneurship echo our dedication to inclusive growth, guarding us against the pitfalls that have befallen other unions. The aspiration for a Political Federation, a potential cornerstone of our future, bears the promise of streamlined governance, enhanced security, and a unified global voice.

Amidst this mosaic of challenges and progress, we must remember that our journey never ceases. It extends into the horizon of the future, where we stand on the precipice of a political federation, poised to deepen regional integration and enhance our collective prosperity. As we eagerly anticipate the inclusion and wholeheartedly welcome Somalia as the eighth member state into our fold, we do so with open hearts, embracing its presence and the lessons of the past etched into our collective memory.

Indeed, the East African Community's future is bright, radiating with promise. With unity, determination, and the unwavering commitment to our shared vision, we shall continue to craft an integrated future that not only benefits our member states but also serves as an inspiration to regional blocs around the world. Our story is one of resilience and unity, and together, we shall script new chapters that illuminate the path toward a more prosperous, integrated, and harmonious East Africa.

Thank you.

Written by Christopher Makwaia
Tel: +255 789 242 396


- The writer, is a University of West London graduate (formerly Thames Valley University) and an expert in Management, Leadership, International Business, Foreign Affairs, Global Marketing, Diplomacy, International Relations, Conflict Resolution, Negotiations, Security, Arms Control, Political Scientist, and a self-taught Computer Programmer and Web Developer.

SANLAM INSURANCE YASHIRIKI RUANGWA MARATHON

$
0
0

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimina na Mkurugenzi Mkuu Wa Biashara wa Sanlam Life Insurance Kyenekiki Kyando (kushoto) baada ya kumaliza kushiriki Mbio za Ruangwa Marathon kwa ajili ya kuchangia vifaa tiba zilizofanyika Ruangwa, Septemba 9, 2023. Ambapo  Sanlam Insurance ni mmoja wapo wa wadhamini wakuu wa Ruangwa Marathon.
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel akisalimina na Mkurugenzi Mkuu Wa Biashara wa Sanlam Life Insurance Kyenekiki Kyando (kushoto) baada ya kumaliza kushiriki mbio za Ruangwa Marathon kwa ajili ya kuchangia vifaa tiba zilizofanyika Ruangwa, Septemba 9, 2023. Ambapo  Sanlam Insurance ni mmoja wapo wa wadhamini wakuu wa Ruangwa Marathon.

Mkurugenzi Mkuu Wa Biashara Sanlam Life Insurance,Kyenekiki Kyando kulia akiwa na watumishi wa Sanlam Insurance  katika picha ya pamoja  baada ya kumaliza kushiriki mbio za Ruangwa Marathon kwa ajili ya kuchangia vifaa tiba zilizofanyika Ruangwa, Septemba 9, 2023. Ambapo  Sanlam Insurance ni mmoja wapo wa wadhamini wakuu wa Ruangwa Marathon.

TBS YAWATAKA WAZALISHAJI WA MABATI KUZALISHA MABATI YENYE VIWANGO

$
0
0
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV

SHIRIKA la Viwango Tanzania limewataka wazalishaji wa Mabati nchini kuzalisha mabati kwa mujibu wa viwango ili kuepuka usumbufu na gharama zisizo za lazima.

Akizungumza na waandishi wa habari jana Septemba 13,2023 Jijini Dar es Salaam, Afisa Viwango Bw.Anold Mato amesema bati zinazofaa kwaajili ya kuezekea nyumba ni geji isiyozidi 30.

Amesema bati nyingine zimetengenezwa kwa ajili ya shughuli nyingine kama kutengenezea uzio wakati wa utekelezaji wa miradi, lakini si kwa kuezekea nyumba.

"Mzalishaji wa mabati yenye geji 32 ambayo kwa kawaida ni kwaajili ya uzio, mzalishaji anatakiwa kuweka taarifa ambayo inaonesha kuwa mabati hayo ni kwaajili ya kutengenezea uzio na si kuezekea nyumba". Amesema

Aidha amesema kuwa bidhaa ya mabati imewekwa viwango maalumu vya ubora vinavyostahili kutumika na wazalishaji ambapo bati hutengenezwa kwa chuma na kupakwa madini ya zinki au aluminium zinki ili yawe na uwezo wa kuhimili kutu.

"Viwango vya mabati ni vya lazima na inapotengenezwa inapaswa kuwa na alama ya mzalishaji, kiwango cha madini ya zinki kilichopakwa na geji. Yote haya yaandikwe kwenye bati husika sokoni ili mnunuzi aone na ajue". Ameeleza.

Pamoja na hayo amesema kuwa watumiaji wa mabati inafaa wapate uelewa wa matumizi ya mabati ambapo itasaidia kuepuka hasara zisizo za lazima.



Viewing all 39112 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>