TFF yawapongeza Wambura na Kambi.
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.RAISI wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Jamal Malinzi (Pichani)ametuma salamu za pongezi kwa Katimu Mkuu wa zamani wa Chama cha Soka nchini (FAT sasa TFF),...
View ArticleMAKAMU WA RAIS, MH. SAMIA SULUHU HASSAN AFUNGUA MAFUNZO YA WANAWAKE...
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa kufungua Mafunzo ya siku tatu ya Wanawake Wajasiriamali yalioandaliwa na Mfuko wa Fursa Sawa kwa...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO MGENI RASMI MAONESHO YA TAASISI ZA KIFEDHA...
NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maonyesho ya taasisi za kifedha (benki) na kiuchumi yatakayofanyika Julai 27 hadi 29 mwaka huu, Mlimani City...
View ArticleMV. MAGOGONI KUKAMILIKA AGOSTI MWAKA HUU.
Muonekano wa Kivuko cha MV. Magogoni kikiwa kwenye hatua za mwisho za matengezo yanayofanywa na kampuni ya M/S Songoro Marine Transport Courtyard ya Mwanza na TEMESA Jijini Dar es salaam. Kaimu...
View ArticleMACHINGA JIJINI MWANZA WAKUTANA KUAMUA HATIMA YAO
Mgeni Rasmi, Dkt.Kissui Steven Kissui ambae ni Mwenyekiti wa Shindano la Uwezeshaji Kiuchumi na Ajira Tanzania, akifungua Mkutano wa Wafanyabiashara ndogondogo (Machinga) Jijini Mwanza uliofanyika hii...
View ArticleWAZIRI MKUU MSTAAFU AHIMIZA VIJANA KUJIHUSISHA NA KILIMO CHA KISASA
Na Naamala SamsonWAZIRI mkuu mstaafu wa serikali ya awamu ya nne, Mhe. Mizengo Pinda, amewahimiza vijana wa kitanzania kujishughulisha na kilimo na ufugaji wa kisasa ili kupata matokeo bora na kuinua...
View ArticleMKUTANO WA19 WA SADC WA KAMATI YA USAFIRI WA ANGA WAZINDULIWA LEO JIJINI DAR
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akiongea wakati wa uzinduzi wa mkutano 19 wa SADC wa kamati za usafiri wa Anga uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.wapili kushoto ni...
View ArticleKATIBU MKUU WIZARA YA ARDHI NA NAIBU WAKE WAKUTANA NA WANANCHI ANA KWA ANA NA...
Katika kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma kwa mwaka 2016, Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kupitia watendaji wake wakuu leo tarehe 21/06/2016 amefanya utaratibu maalumu wa kukutana...
View Article