adhabu kali kutolewa kwa wamiliki wa vyombo vya usafirishaji na madereva...
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa ameutaka uongozi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) kutoa adhabu kali kwa wamiliki wa vyombo vya...
View ArticleWAZIRI MKUU MAJALIWA ALIPOKUTANA NA WANANCHI WA JIMBO LAKE LA RUANGWA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Mihewe kabla ya kuzungumza nao akiwa katika ziara ya jimbo lake la uchaguzi la Ruangwa Julai 15, 2016.Mke wa Waziri Mkuu,Mary Majaliwa...
View ArticleMBINU MPYA YA BODABODA KUKWEPA KUVAA KOFIA NGUMU (HELMENT)
Kama kama, kama dawa. leo katika katiza katiza si ndio Kamera yetu ikaunasa usafiri huu mwanana wenye sifa ya kufika haraka popote iendako. ila cha kufurahisha ni pale dereva na abiria wake...
View ArticleWATUMISHI WA UMMA WATAKIWA KUWA CHACHU YA MABADILIKO YA UKUAJI WA UCHUMI NCHINI
Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali Watu wa mkoa wa Dodoma Bw. Deogratius Nyinza (kulia) akifunga kikao kazi cha Wakuu wa Vyuo vya Maendeleo ya Jamii vilivyo chini ya Wizara ya Afya, Maendeleo...
View ArticleIGP MANGU AWAVISHA NISHANI IGP WASTAAFU NA MAOFISA WENGINE WA POLISI
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Ernest Mangu akikagua gwaride jana katika chuo cha taaluma ya Polisi Dar es Salaam wakati wa sherehe ya kuwavisha nishani IGP mstaafu Omari mahita na IGP mstaafu Saidi Mwema...
View ArticleWIMBO WA ‘PALE KATI PATAMU’ WA NEY WA MITEGO WAPIGWA PINI KALI
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limeufungia rasmi wimbo wa ‘pale kati patamu’ ulioimbwa na Msanii Ney wa Mitengo kutokana na ukiukwaji mkubwa wa maadili.Msanii huyu amekuwa na tabia na mienendo yenye...
View ArticleWAZIRI MKUU, MAJALIWA AZINDUA DUKA LA MSD RUANGWA.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua duka la dawa la MSD kwenye hospitali ya Wilaya ya Ruangwa akiwa katka ziara ya jimbo lake la uchaguzi Julai 16, 2016.Kushoto kwake ni mkewe Mary na watano...
View ArticleYANGA YASHINDWA KUTAMBA UWANJA WA NYUMBANI, YATOKA SARE YA BAO 1-1 NA MEDEAMA...
Waamuzi wa Mchezo wa leo kati ya Yanga ya Tanzania na Medeama ya nchini Ghana, wakiziongoza timu kuingia uwanjani tayari kwa kuanza kwa mchezo huo wa Kombe la Shirikisho, uliopigwa kwenye Dimba la...
View ArticleBENKI YA POSTA (TPB) YAKABIDHI MADARASA NA OFISI YA SHULE YA MSINGI...
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dkt Rehema Nchimbi(katikati) na Mwenyekiti wa Bodi ya benki ya posta Profesa .Lettice Rutashobya( kulia) pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Njombe Lucy Msafiri wakizindua madarasa na...
View ArticleMAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AWASILI KIGALI, RWANDA KWA AJILI YA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Maendeleo ya Rwanda, Francis Gatare alipowasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kigali, Rwanda kwa...
View ArticleNEPAD yahimiza uanzishwaji wa Viwanda ili kukwamua uchumi wa Bara la Afrika
Kikao cha NEPAD kikiendelea Dkt. Ibrahim Mayaki, Mkurugenzi Mtendaji wa Mpango wa Maendeleo Afrika KIGALI, Rwanda: Afrika inahitaji juhudi za pamoja ili kukuza sekta ya viwanda ambayo itasaidia kwa...
View ArticleWATANZANIA WAENDELEA KUTOA USHUHUDA JINSI PROMOSHENI YA TUSKER ILIVYOBADILI...
Mmoja wa washindi wa Tusker milionea Albert Tarimo (kulia) akijadiliana jambo na fundi wa matofali Emmanuel Mboya (kushoto) ambayo aliyonunua kwa kutumia Milioni moja aliyoipata kutoka promosheni...
View ArticleLAPF YATOA MSAADA WA MASHUKA 375 KWA HOSPITALI YA WILAYA YA KISARAWE MKOANI...
Meneja Masoko na Mawasiliano wa LAPF, James Mlowe (katikati), akimkabidhi Mbunge wa Kisarawe ambaye pia ni Naibu Waziri wa Tamisemi, Suleiman Jaffo (wa pili kushoto), msaada wa mashuka 375 yenye...
View ArticleUNESCO YAKUTANISHA WADAU KUJADILI USAFI WA MAJI, HALI YA USALAMA BADO SI NZURI
Katika kuhakikisha kunakuwa na usalama wa maji duniani kutokana na kuwepo kwa idadi kubwa ya vifo ambavyo vinatokana na uchafu katika maji, Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na Elimu, Sayansi na...
View ArticleJUMA ABDUL NDIE MWANASOKA BORA WA LIGI KUU TANZANIA BARA 2015/16
Beki wa kulia wa Timu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, Juma Abdul, usiku huu ametangwazwa kuwa mshindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu wa 2015/2016. Juma ameibuka kidedea...
View ArticleVIMBWANGA VYA KAMATI ZA UFUNDI NDONDO CUP: KAUZU YATINGA NUSU FAINALI, SASA...
Mtaalam wa Kauzu FC akiwa kabebwa juu juu wakati akiletwa uwanjani kufanya mambo ili timu yake ishinde.Na Zainab Nyamka, DarTimu ya Kauzu Fc imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali michuano ya Ndondo...
View ArticleWANAWAKE WAFUGA NYUKI KUOKOA MISITU YA PUGU NA KAZIMZUMBWI
Maofisa wa taasisi ya Mfuko wa Wanawake wa Afrika (WAF) Anna Salado na Alicia (kushoto) wakipata maelezo ya fugaji nyuki katika msitu wa hifadhi wa Pugu.WANAWAKE wanaofuga nyuki wataokoa hekta 7,270 za...
View ArticleGARI AINA YA CRESTA LANGONGA BASI LA MWENDO HARAKA. JIJINI DAR LEO.
Gari la Mwendo wa haraka lenye namba za usajili T 968 DGV limegongwa na gari aina ya Cresta lenye namba za usajili T 295 BVC leo katika eneo la Kisutu jijini Dar es Salam. Chanzo cha ajali hiyo...
View ArticleWafanyakazi wa Vodacom wapanda mlima Kilimanjaro.
Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom ambao ni raia wa Afrika ya Kusini,wakiwa tayari kuanza safari yao ya kupanda Mlima Kilimanjaro kwa lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia kununua Taulo za...
View Article