Quantcast
Channel: MTAA KWA MTAA BLOG
Browsing all 39609 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

adhabu kali kutolewa kwa wamiliki wa vyombo vya usafirishaji na madereva...

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa ameutaka uongozi wa  Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) kutoa adhabu kali kwa wamiliki wa vyombo vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MAJALIWA ALIPOKUTANA NA WANANCHI WA JIMBO LAKE LA RUANGWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Mihewe kabla ya kuzungumza nao akiwa katika ziara ya jimbo lake la uchaguzi la Ruangwa Julai 15, 2016.Mke wa Waziri Mkuu,Mary Majaliwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBINU MPYA YA BODABODA KUKWEPA KUVAA KOFIA NGUMU (HELMENT)

Kama kama, kama dawa. leo katika katiza katiza si ndio Kamera yetu ikaunasa usafiri huu mwanana wenye sifa ya kufika haraka popote iendako. ila cha kufurahisha ni pale dereva na abiria wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATUMISHI WA UMMA WATAKIWA KUWA CHACHU YA MABADILIKO YA UKUAJI WA UCHUMI NCHINI

Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali Watu wa mkoa wa Dodoma Bw. Deogratius Nyinza (kulia) akifunga kikao kazi cha Wakuu wa Vyuo vya Maendeleo ya Jamii vilivyo chini ya Wizara ya Afya, Maendeleo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IGP MANGU AWAVISHA NISHANI IGP WASTAAFU NA MAOFISA WENGINE WA POLISI

Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Ernest Mangu akikagua gwaride jana katika chuo cha taaluma ya Polisi Dar es Salaam wakati wa sherehe ya kuwavisha nishani IGP mstaafu Omari mahita na IGP mstaafu Saidi Mwema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIMBO WA ‘PALE KATI PATAMU’ WA NEY WA MITEGO WAPIGWA PINI KALI

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limeufungia rasmi wimbo wa ‘pale kati patamu’ ulioimbwa na Msanii Ney wa Mitengo kutokana na ukiukwaji mkubwa wa maadili.Msanii huyu amekuwa na tabia na mienendo yenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU, MAJALIWA AZINDUA DUKA LA MSD RUANGWA.

 Waziri Mkuu, Kassim  Majaliwa akizindua duka la dawa la MSD kwenye hospitali ya Wilaya ya Ruangwa akiwa katka ziara ya jimbo lake la uchaguzi Julai 16, 2016.Kushoto kwake ni mkewe Mary na  watano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YASHINDWA KUTAMBA UWANJA WA NYUMBANI, YATOKA SARE YA BAO 1-1 NA MEDEAMA...

 Waamuzi wa Mchezo wa leo kati ya Yanga ya Tanzania na Medeama ya nchini Ghana, wakiziongoza timu kuingia uwanjani tayari kwa kuanza kwa mchezo huo wa Kombe la Shirikisho, uliopigwa kwenye Dimba la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA VIONGOZI NA WATENDAJI WA TAASISI MBALIMBALI ZA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA POSTA (TPB) YAKABIDHI MADARASA NA OFISI YA SHULE YA MSINGI...

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dkt Rehema Nchimbi(katikati) na Mwenyekiti wa Bodi ya benki ya posta Profesa .Lettice Rutashobya( kulia) pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Njombe Lucy Msafiri wakizindua madarasa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AWASILI KIGALI, RWANDA KWA AJILI YA...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Maendeleo ya Rwanda, Francis Gatare alipowasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kigali, Rwanda kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEPAD yahimiza uanzishwaji wa Viwanda ili kukwamua uchumi wa Bara la Afrika

Kikao cha NEPAD kikiendelea Dkt. Ibrahim Mayaki, Mkurugenzi Mtendaji wa Mpango wa Maendeleo Afrika KIGALI, Rwanda: Afrika inahitaji juhudi za pamoja ili kukuza sekta ya viwanda ambayo itasaidia kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA WAENDELEA KUTOA USHUHUDA JINSI PROMOSHENI YA TUSKER ILIVYOBADILI...

Mmoja wa washindi wa Tusker milionea Albert Tarimo (kulia) akijadiliana jambo na fundi wa matofali Emmanuel Mboya (kushoto) ambayo aliyonunua kwa kutumia Milioni moja aliyoipata kutoka promosheni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LAPF YATOA MSAADA WA MASHUKA 375 KWA HOSPITALI YA WILAYA YA KISARAWE MKOANI...

Meneja Masoko na Mawasiliano wa LAPF, James Mlowe (katikati), akimkabidhi Mbunge wa Kisarawe ambaye pia ni Naibu Waziri wa Tamisemi, Suleiman Jaffo (wa pili kushoto), msaada wa mashuka 375 yenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNESCO YAKUTANISHA WADAU KUJADILI USAFI WA MAJI, HALI YA USALAMA BADO SI NZURI

Katika kuhakikisha kunakuwa na usalama wa maji duniani kutokana na kuwepo kwa idadi kubwa ya vifo ambavyo vinatokana na uchafu katika maji, Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na Elimu, Sayansi na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUMA ABDUL NDIE MWANASOKA BORA WA LIGI KUU TANZANIA BARA 2015/16

Beki wa kulia wa Timu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, Juma Abdul, usiku huu ametangwazwa kuwa mshindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu wa 2015/2016. Juma ameibuka kidedea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIMBWANGA VYA KAMATI ZA UFUNDI NDONDO CUP: KAUZU YATINGA NUSU FAINALI, SASA...

Mtaalam wa Kauzu FC akiwa kabebwa juu juu wakati akiletwa uwanjani kufanya mambo ili timu yake ishinde.Na Zainab Nyamka, DarTimu ya Kauzu Fc imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali michuano ya Ndondo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAWAKE WAFUGA NYUKI KUOKOA MISITU YA PUGU NA KAZIMZUMBWI

Maofisa wa taasisi ya Mfuko wa Wanawake wa Afrika (WAF) Anna Salado na Alicia (kushoto) wakipata maelezo ya fugaji nyuki katika msitu wa hifadhi wa Pugu.WANAWAKE wanaofuga nyuki wataokoa hekta 7,270 za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GARI AINA YA CRESTA LANGONGA BASI LA MWENDO HARAKA. JIJINI DAR LEO.

Gari la Mwendo wa haraka lenye namba za usajili T 968 DGV limegongwa na gari aina ya Cresta lenye namba za usajili T 295 BVC leo katika eneo la Kisutu jijini Dar es Salam. Chanzo cha ajali hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafanyakazi wa Vodacom wapanda mlima Kilimanjaro.

Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom ambao ni raia wa Afrika ya Kusini,wakiwa tayari kuanza safari yao ya  kupanda Mlima Kilimanjaro kwa lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia kununua Taulo za...

View Article
Browsing all 39609 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>